Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Dah,wakuu ase nahisi huu ni ugonjwa au addiction ya hii JF yetu,sio kwa kiasi hiki kiukweli nimekuwa natumia muda mwingi katika siku yangu kufatilia habari na kucomment katika majukwaa tofauti,hapa JF ila sasa,shida ipo ivi huwa ukifika mda wa usiku kama nikiingia kwa jukwaa,badae mda wa kulala nikalala huwa napata usingiz lakini kwa shida sana maana usiku huwa naweweseka sana na kuwaza au kuwa najiona kama bado nachat au kuperuzi JF na huwa hali iyo inajirudia au huchukua muda mrefu kiasi kwamba hata usingizi huniisha nikiamka asubuhi nakuwa nimechoka sana.vp wakuu wa MMU ntazuia vp hii hali au nitumie vp JF Isinidhuru kiasi hiki?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] umeuaKunywa maji ya kuoshea samaki lita 1 kabla hujalala mkuu
dah sasa huku napokaa mkuu,hata kupata hayo maji ya samaki ase ni shida,mkuu...amna namna nyingne?Kunywa maji ya kuoshea samaki lita 1 kabla hujalala mkuu
sijafikiria nitumie njia ya kutukana mkuu,ila imefika kipind hata nimetamani nipigwe ban...tu ili niwe off nipumzike kidogo ase.TUKANA mtu mmoja TUSI ZITO MATATA!!! na ban ya miezi miwili itatosha kabisa kutibu tatizo lako la uraibu! Asante.
hamna mkuu,nipo busy sana hasa ukizingatia ni mwanafunz au na shule mambo kibao..ila bado kuna mda natamani niingie jukwaani hata nisome posts,then nipumzike wapi...hata mda mwngne nakaa mbali na simu na pc ila huwa haipiti siku hata usiku wa manane nitaingia tuu,Labda hauko busy tu...jikip busy uone Kama utashinda humu. ...
mkuu kweli,yanatibu ayoooo au umefrahii nianze kununua samaki tuu saiv?[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] umeua
dah asante mkuu,nitajitaid mana dah...hakuna jinsi kama hamna njia nyingne maybe hali itaacha yenyewwenzio tulikuwa huko huko....ila sasa tumepona.....pambana na hali yako mkuu.......utakuwa sawa tu......
Mi sijapona bado. Kila napotaka kupona, inatokea michuchu mipya. Na mimi na michuchu ni sawa na Faru John na Majaliwa Serengeti.wenzio tulikuwa huko huko....ila sasa tumepona.....pambana na hali yako mkuu.......utakuwa sawa tu......
Kunywa maji ya kuoshea samaki lita 1 kabla hujalala mkuu