Nitafikisha Miaka Mitano Kama Memba wa JF

2006 mpaka 2017=5years? Au mimi ndio sijaelewa. Hongera Bro.

Yaani wewe ndio hujui kutumia hii forum na pia kuelewa yaliyoandikwa na hutaki kujifunza kwa kujiongeza mwenyewe.

Umejibiwa hapo sasa rudi ujue jinsi ya kuzisoma na tarehe uzi ulirushwa
 
Miaka 5 toka 2006 mpaka sasa?? Tying error au hesabu ni janga!! Just kiddin, HONGERA!
Hivi mie nina umri gani humu?? Ngoja nicheki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…