Kumbe wewe ******?? Unatokea kijiji gani msoga au mboga?Tufikirieni na sisi wakwere jamani.
Lazima utakuwa mmachame ww
Kabila sio issue uzuri wa mtu ni tabia hivyo ni bora ungejikita kwenye kuangalia tabia zaidi kulilko kuangalia kabila. Maana Unavyosema wachaga hawajui mambozi alifanya reseach gani? Wako wachaga ambao wako fiti kupita maelezo utandawazi wote huu ulioenea unafikiri kuna cha mchaga au mzaramo?
Lakini usiwe na wivu naye,akiomba ruhusa kwenda kukesha kwenye ngoma wiki moja uwe tayari vilevile kumkubalia.
Muulize platozoom ndie alifanya sensa ya wazaramo wote wa JF, hadi Mods.
ukubali kumnunulia pichu ya bati ufinge na Solex kubwa kabisa
Hizo kost za bati ndo zikoje mdau na zinasaidia nini hasa?