Nitaheshimu katiba ya Tanzania: Mh Rais

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,520
Reaction score
1,462
Habari wanajamvi....

Siku chache zilizopita Mh Rais aliwatoa hofu watanzania kwamba hatoweza kuendelea kugombea baada ya miaka yake 10 kuisha....

Lakin niseme kitu kimoja kwamba watanzania tusibweteke na kauli hii ya Mh Rais bado mapema Sana kuiamini kauli hii,wanasiasa ni watu wa ajabu sana mtashangaa 2020 baada ya uchaguzi miezi kadhaa mbele msishangae akabadili katiba na hatimaye kuongoza milele....

Tusimwamini MTU huyu....

Natoa tahadhari....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…