Mimi nipo kuwatetea Watumishi wa Umma. Hawa ni walimu Madaktari, wauguzi, manesi nk. Hawa ni watu muhimu sana katika jamii.
Katika mikataba yao ya kazi kuna kipengele kinachosomeka "Your incremental date will be on July 1st", yaani kila mtumishi wa Umma atapata nyongeza ya mshahara ya mwaka kila tarehe 1, July.
Kwa makusudi serikali imekuwa ikivunja masharti ya mikataba ya watumishi wa Umma bila kujali chochote.
Lakini pia upandishaji madaraja kwa watumishi wa Umma hauzingatii nani aanze kisha afuate nani. Hivyo utakuta watumishi walioanza kazi kwa kupishana miaka hata 8 wote wanakuja kuwa kwenye daraja moja kitu ambacho si kizuri.
Kwa sababu hizo, nitaipeleka mahakamani serikali ili haki iweze kupatikana kwa watumishi wa Umma.
Katika mikataba yao ya kazi kuna kipengele kinachosomeka "Your incremental date will be on July 1st", yaani kila mtumishi wa Umma atapata nyongeza ya mshahara ya mwaka kila tarehe 1, July.
Kwa makusudi serikali imekuwa ikivunja masharti ya mikataba ya watumishi wa Umma bila kujali chochote.
Lakini pia upandishaji madaraja kwa watumishi wa Umma hauzingatii nani aanze kisha afuate nani. Hivyo utakuta watumishi walioanza kazi kwa kupishana miaka hata 8 wote wanakuja kuwa kwenye daraja moja kitu ambacho si kizuri.
Kwa sababu hizo, nitaipeleka mahakamani serikali ili haki iweze kupatikana kwa watumishi wa Umma.