Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Acha hawa wajinga wanyooshweNikweli kabisa mnamanisha mazuri. Cha ajabu mmelalamika kutozwa 50k ya mwenge.
Pia ninyi hapohapo mlimchangia Samia Hela akachukue form.
Trh 25 mwezi huu mwalimu kapigwa kama Ngoma kisa ana madeni lukuki
Maisha magumu.
Ingia pm nikuunganishe nae umsaidie mwalimu mwenzako maana anawaabisha huku ninyi mnasema mnamaisha mazuri welele
Boss nurses kwa mwaka ada haizidi 70k kama sikosei pharmacy ni 66k hio ni diploma kwahio unaiona hio ni kubwaHongeza HOJA nyingine,Kulipia LESENIi ya utendaji kazi Kila mwaka Kwa gharama kubwa Kwa fani km nurses,udaktari huku hawafanyi biashara na KUTOPANDISHWA MADARAJA km mtumishi Ambaye hajapata Leseni japo alijiendeleza(Tena Kwa gharama zake mwenyewe)ni unyanyasaji mkubwa Kwa WATUMISHI ,
Inategemea uwezo wa kifedha wa Serikali kutimiza takwa Hilo.Mwalimu ChoiceVariable unasemaje juu ya hili
Hii ilitokea au inatokea baada ya kuachana na Seniority system Miaka Hiyo ya 90.Mimi nipo kuwatetea Watumishi wa Umma. Hawa ni walimu Madaktari, wauguzi, manesi nk. Hawa ni watu muhimu sana katika jamii.
Katika mikataba yao ya kazi kuna kipengele kinachosomeka "Your incremental date will be on July 1st", yaani kila mtumishi wa Umma atapata nyongeza ya mshahara ya mwaka kila tarehe 1, July.
Kwa makusudi serikali imekuwa ikivunja masharti ya mikataba ya watumishi wa Umma bila kujali chochote.
Lakini pia upandishaji madaraja kwa watumishi wa Umma hauzingatii nani aanze kisha afuate nani. Hivyo utakuta watumishi walioanza kazi kwa kupishana miaka hata 8 wote wanakuja kuwa kwenye daraja moja kitu ambacho si kizuri.
Kwa sababu hizo, nitaipeleka mahakamani serikali ili haki iweze kupatikana kwa watumishi wa Umma.
Serikali ya CCM nj serikali sikivu itafanya kabla hata haijaburuzwa mahakamani.Rais wetu ameshasema kabisa kuwa anaweka msawazo kwa mserereko kwa walimu
Na baadhi ya halmashauri bado wanaona hiyo sio muhimu ila inaumiza sana mtu mmeanza pamoja halafu unakuta mwenzako kakuzidi zaidi ya madaraja mawili
Kwakweli inauma sana na tunamwachia Rais aone namna ya kuwasaidia walimu wake
Kivipi mkuu. Hebu funguka zaidiHii ilitokea au inatokea baada ya kuachana na Seniority system Miaka Hiyo ya 90.
Waulizwe Wale wa Zamani huko Ofisini watakueleza Seniority system ilivyokuwa. Yaani haikuwa rahisi umpite cheo na Mshahara uliyemkuta kazini wa fani moja.Kivipi mkuu. Hebu funguka zaidi
Serikali ya CCM ina mambo ya kipumbavu sana. Kwanini hasaimeamua kuwadhulumu watumishi wa umma haki zao za msingi kiasi hiki? Ndio maana Mungu amewalaanimbwa hawa.Waulizwe Wale wa Zamani huko Ofisini watakueleza Seniority system ilivyokuwa. Yaani haikuwa rahisi umpite cheo na Mshahara uliyemkuta kazini wa fani moja.
Wewe kama ni GenZ au Millennial huwezi kuelewa hiyo System. Ila Kwa kuelewa zaidi Google "Seniority System at Workplace". Unaweza hata ukafanya Research kuhusu Kwa nini iliondoka kazini.Kivipi mkuu. Hebu funguka zaidi
Ni kazi ake au kazi ya TUCTA?
Sa aiseeNi jambo jema ila ninakuuliza hao unaotaka wapate haki zao wanakubaliana na wewe? Au watakuona unania ovu ya kuwagombanisha na mama! Usije ukashangaa watakapokukana, ninakushauri usijaribu kumtetea mtanzania atakuumbua.
Si wanakatwa michango?TUCTA ambao ni wakala wa serikali?