Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kabla ya hapa nilikuwa nashangilia Denmark, hii ni kwa sababu kwenye vijjiji vya Kwetu Kyela viliwekewa Maji ya bomba kwa mara ya kwanza na Nchi ya Denmark kupitia shirika la DANIDA, yaliitwa maji ya DANIDA
Kwenye michuano hii ya Kimataifa huwa sishangilii kwa kufuata mkumbo, Nashangilia wale wanaowasaidia Watanzania.
Ndio maana kwenye Fainali niko na England maana nimepima misaada yao kwetu ni mingi kuliko inayotoka Spain
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Kwenye michuano hii ya Kimataifa huwa sishangilii kwa kufuata mkumbo, Nashangilia wale wanaowasaidia Watanzania.
Ndio maana kwenye Fainali niko na England maana nimepima misaada yao kwetu ni mingi kuliko inayotoka Spain
MUNGU WABARIKI WAZUNGU