Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bila wakoloni hadi leo mgekuwa mnajisaidia vichakaniSiwezi shangilia wakoloni
Vipi ubeligiji ukawatosa,,,,sie tunaenda na spain wakatoliki wenzetu, hapana kupita na anglikana kwanza walishatengwa afrikaBila wakoloni hadi leo mgekuwa mnajisaidia vichakani
Umesikia wapi mtu kafa kwa kujisaidia vichakani?Bila wakoloni hadi leo mgekuwa mnajisaidia vichakani
Ooh jambo nzuri...me nilikuwa na wanangu wa Adf Hitler ila saivi nipo na timu YamalKabla ya hapa nilikuwa nashangilia Denmark, hii ni kwa sababu kwenye vijjiji vya Kwetu Kyela viliwekewa Maji ya bomba kwa mara ya kwanza na Nchi ya D
England anabeba ndooEngland wakutane na wale watoto wa spain na mpira wao wa unga unga mwana watatoboa? wamefika hapo kimazabe tu si kwa sababu wana ubora
labda ndoo ya sadolinEngland anabeba ndoo
π€£π€£England anabeba ndoo
Naunga mkono hojaEngland anabeba ndoo