Nitaitambuaje betri feki na original?

Nitaitambuaje betri feki na original?

GM7

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
492
Reaction score
24
Kwa kweli mchina amejitahidi kuliteka soko la simu za mkononi. Karibu kila mtu ana simu ya kichina. Lakini tatizo la simu ni kuisha kwa betri zake mapema mno pengine siku mbili au hata siku moja kwa matumizi ya kawaida. Ila nasikia ukipata battery zake original angalau zinakaa muda mrefu kidogo.

Je nitazitambuaje feki na original? Maana wakati fulani unauziwa betri feki ukidhani original. Naomba tusaidiane hapa.
Genuine-Nokia-BL-5C-3-7V-1020mAh-3-8Wh-Cellphone-Battery-for-E50-E60-N70-N71-More-G-mid-26621.jpg
 
Kwasasa best the difference kati ya genuine na feki is the same na ni ngumu kinoma kuigundua!
 
labda ukiwa unanunua uhimize kuwa unataka feki mana ukisema unataka orijino wanakuuzia feko!!
 
Nenda kwa authorized dealer wa Nokia/Samsung/etc utapata original.
 
Kwa kweli mchina amejitahidi kuliteka soko la simu za mkononi. Karibu kila mtu ana simu ya kichina. Lakini tatizo la simu ni kuisha kwa betri zake mapema mno pengine siku mbili au hata siku moja kwa matumizi ya kawaida. Ila nasikia ukipata battery zake original angalau zinakaa muda mrefu kidogo.

Je nitazitambuaje feki na original? Maana wakati fulani unauziwa betri feki ukidhani original. Naomba tusaidiane hapa.

Issue yak ya kwanza ina utata. Matumizi ya kawada ni yapi kwako. Unaongea masaa mangapi? Simu yako ina bluetooth? Je iko on, Ukubwa wa screen ya simu yako ni size gani?inachukua muda gani screen kujizima ikiwa idle? Je umetune ringtone na sms alert kwenye vibration na sound? Kwa nn usijachague Sound tu au vibation tu? Kuna service nyingi kwenye simu zinachangia kula betri inategemea na aina ya simu.

So Tuning ni muhimu pia Ili simu yako itumie energy efficiently .Usidhani hata ukipata hiyo unayohita orijinal itakuwa na tofauti na hizo unazoita feki. kama walicyosema wadau tofauti ni kama hakuna

sasa kutambua betri tembelea site ya nokia eg Nokia Support Discussions - Battery - Check its an original! - Nokia Support Discussions. Unaweza ku google pia.
 
labda ukiwa unanunua uhimize kuwa unataka feki mana ukisema unataka orijino wanakuuzia feko!!

Nami huwa nafanya hivyo hata kwenye spares. Kwanza nasema mimi nataka feki tu, akileta feki sasa namwambia niletee orijino, nimebadilisha mawazo:smile-big:
 
Nami huwa nafanya hivyo hata kwenye spares. Kwanza nasema mimi nataka feki tu, akileta feki sasa namwambia niletee orijino, nimebadilisha mawazo:smile-big:

Betri Original ni ile inayokuja pamoja na simu tokea upya wake; nyingine nje ya hapo ni feki japo zinatofautiana ubora wa u feki wake!!
 
Issue yak ya kwanza ina utata. Matumizi ya kawada ni yapi kwako. Unaongea masaa mangapi? Simu yako ina bluetooth? Je iko on, Ukubwa wa screen ya simu yako ni size gani?inachukua muda gani screen kujizima ikiwa idle? Je umetune ringtone na sms alert kwenye vibration na sound? Kwa nn usijachague Sound tu au vibation tu? Kuna service nyingi kwenye simu zinachangia kula betri inategemea na aina ya simu.

So Tuning ni muhimu pia Ili simu yako itumie energy efficiently .Usidhani hata ukipata hiyo unayohita orijinal itakuwa na tofauti na hizo unazoita feki. kama walicyosema wadau tofauti ni kama hakuna

sasa kutambua betri tembelea site ya nokia eg Nokia Support Discussions - Battery - Check its an original! - Nokia Support Discussions. Unaweza ku google pia.

Matumizi ya kawaida kabisa kama vile talking time isiyozidi dakika 15 kwa siku bila kupigapiga miziki ya kwenye simu na kusikiliza radio. Na pia kutuma SMS mbili tu kwa siku. Pamoja na matumizi kama haya kuna betri ambazo hata siku moja hazimalizi utakuta inakwambia battery low wakati asubuhi uliichaji ikawa fully charged. Wakati huo huo inatumia ringtone ya kawaida kabisa bila hata vibration.

Ngoja nitembelee hiyo link nione kama kuna utambuzi wowote.

Thanks Mtazamaji
 
Nami huwa nafanya hivyo hata kwenye spares. Kwanza nasema mimi nataka feki tu, akileta feki sasa namwambia niletee orijino, nimebadilisha mawazo:smile-big:


Dah! Hii safi sana,
kama kweli unafanya hivyo basi jamaa lazima wakuogope sana.
Nimeipenda hii.
 
Tabia zetu za kutaka vitu kwa bei rahisi ndio imetuponza na kutufanya kila kitu kinachotuzunguka kuwa feki.

mtu unaambiwa betri la blackberry original $30 na feki $5 sasa unapiga hesabu za haraka haraka unaona bora simu inawaka tu na kama inaisha haraka si utatembea na chaja matokeo yake feki zinapata soko kushinda hio original.
 
Back
Top Bottom