tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Wadau mnaweza mkanishangaa lakini sitashangaa kwan kushangaa vinavyoshangaza si tatizo. Wadau namba hiyo imenipigia na nimeshndwa kupokea, napiga haipatikani. Nahis ni simu kwa ajir ya kaz, plz anayeweza kuitambua.
Ya Dar kati kati ya mji.hii Ni namba ya TTCL
dah! ushakosa ajira ila we jaribu kuipigia tena au tafuta kitabu cha posta coz ni land line.
Wadau mnaweza mkanishangaa lakini sitashangaa kwan kushangaa vinavyoshangaza si tatizo. Wadau namba hiyo imenipigia na nimeshndwa kupokea, napiga haipatikani. Nahis ni simu kwa ajir ya kaz, plz anayeweza kuitambua.
We tindikali nawee,unataka kuendelea kubaki mtaani au?
Tumia mtandao wa voda utaipata kwani ukipiga kutumia tigo haipatikani
Angalia kwenye kitabu cha simu......
nashukuru mkuu, nimewapigia ni Banc ABC, wamenambia ningojee ila nataka niwaibukie, nipo huku huku mjini. Wanaweza wasinitafute hawa
Ya Dar kati kati ya mji.
[h=1]Permanent SecretaryWadau mnaweza mkanishangaa lakini sitashangaa kwan kushangaa vinavyoshangaza si tatizo. Wadau namba hiyo imenipigia na nimeshndwa kupokea, napiga haipatikani. Nahis ni simu kwa ajir ya kaz, plz anayeweza kuitambua.
[h=1]Permanent Secretary
Ministry of Home Affairs
P.O. Box 9223, DAR ES SALAAM
Tel No: +255 - 222119302
[/h]+255 - 22- 2112036
+255 - 22- 2112040Fax:+255 - 22- 2119050E-mail: ps@moha.go.tz
Kitabu cha simu gani, samsung au motorola?