Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
NitakujulishaHp Elitebook core i7 16g ram 512gb na hii itakuwa being gani
Sent from my Infinix X610B using JamiiForums mobile app
NimekutumiaNitumie namba yako inbox mkuu tuyajenge
Hii sijaelewaUltra Thin 15.6 Inch Computer Intel Core I5 I7 10th Gen Gaming Notebook Laptop Used For Business - Buy Gaming Notebook,Ultra Thin Laptop,Core I7 Laptop Product on Alibaba.com
Ultra Thin 15.6 Inch Computer Intel Core I5 I7 10th Gen Gaming Notebook Laptop Used For Business - Buy Gaming Notebook,Ultra Thin Laptop,Core I7 Laptop Product on Alibaba.comm.alibaba.com
NkuchekiHp Elitebook core i7 16g ram 512gb na hii itakuwa being gani
Sent from my Infinix X610B using JamiiForums mobile app
inawezekanakwa Mfano nimekuagiza kitu nilikua serious kabisa,kilipofika ikatokea nikapata shida au tatizo Je kile kitu kilichoagizwa naweza kukilipia nusu nusu yani kidogo kidogo kikiendelea kubaki hapo hapo kwenu mpaka nitakapomaliza deni ndipo mnanikabidhi?
kitu ganiTatizo ninachokihitaji hakipo kwenye orodha yenu
Nomba hizo zawadi mkuu ,niliagiza generator kwenu mwaka 2018 hadi leo linadunda nadadilisha oil filters na Engine oil tu.Wote mliopokea mizigo yenu mkiwa Dar au Mkoani tunashukuru sana kwakutuungisha Mungu awaongezee, na wele waliokimbia mizigo yao pia tuko pamoja sana.
Naomba Testimonial kama umepata changamoto njoo utumbie ilikuwaje ili tuweze kuboresha jukwaa letu la uagizaji wa bidhaa kwanjia ya matandao , then utapata zawadi ya free trial ya membership ya mwezi utaweza ku access platforms zote bila kikomo, unaweza kutengeneza pesa kupitia hii membership, utaweza kupata access ya bidhaa amabazo ziko donated na sellers nakuchukua bure bila kulipia, kifurushi cha membship kitakupa faida kubwa sana .
Asante karibu pm user name upate zawadi mkuuNomba hizo zawadi mkuu ,niliagiza generator kwenu mwaka 2018 hadi leo linadunda nadadilisha oil filters na Engine oil tu.
ikopiwa?
Umefanyikiwa?Mbona ku register ni ngum hivi.
Invalid mobile number!how?
Mkuu habari. Naomba kujua engene ya hii gari bei yake mkiniagizia mpk naipata.Umefanyikiwa?
Ngoja nifatilie nitakujibuMkuu habari. Naomba kujua engene ya hii gari bei yake mkiniagizia mpk naipata.
Grand Escudo V6 2.7 UA-TX92W
View attachment 2168985
Ok nitashukuru mkuuNgoja nifatilie nitakujibu