GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
-
- #401
Mkuu ninaweza pata simtank? Kubwa la maji? 10000lKama kuna mwenye swari karibu litajibiwa
UNauliza au umehitisha katika hizopi unaweza kuniambi ni bongo sehemu gani?Kibongo bongo,kitu kitanunuliwa kariakoo,unaambiwa kimekuja na dhl kutoka nje
UtapataHeavy Duty Dell Machine
(engineerng design,grphics design & games)
-storage.
ROM/HDD: 1TB
RAM: 16GB DDR4
Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card.
System: x64 bit-based processor
Screen: 15.6"
Keyboard: black
Window 10 pro
Battery: 4hrs
Condition: CLEAN.(haina tatizo lolote)
bei: 650K
Auto au manyuNahitaji gearbox ya 5L ya 4x4 drive
ManualAuto au manyu
ipoManual
Bei mkuu
Inabidi niwasiliane na watu wa Japan kiukweli sijui bei gani ila gearbox ipo wakinijibu nitakujibuBei mkuu
PamojaInabidi niwasiliane na watu wa Japan kiukweli sijui bei gani ila gearbox ipo wakinijibu nitakujibu
Sawa ngoja nifanye mawasilianoNahitaji simu aina ya Samsung A03 core
Used