chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 212
Labda nikupe desa tu
1. Ndizi
2. Nanasi
Endelea?
hii product kama si el-boru sec, itakuwa mzumbe sec au kibaha boys sec.!!!!
Labda nikupe desa tu
1. Ndizi
2. Nanasi
Endelea?
konyagi, valuer, k vant, kiroba na boss
Kei haina mbegu
Hii ni kwa nini watu mna vichwa vigumu sana kuelewa????!!!!! Sasa unavyoharibu na kuchakachua thread kwa makusudi ni ujinga ama misifa??? Hii ni jukwaa la Elimu na sio chitchat... Mnaharibu Jf jamani.. Sehemu nyingine hebu azimeni u serious kidogo.
Nimeingia sipo, nilidhani nipo kule jokes, my SINCERE APOLOGY
kituko uko sahihi kbs. Katika
biological classification kuna 'true fruits' na 'false fruits'. Ndizi,
peasi, nanasi nk yapo katika kundi la false fruits. Tuwe makini na
categories hizo. Kwa kundi la kwanza, mbegu za tunda zipo kwenye
endocarp (ile nyama ya ndani ya tunda) kama ilivyo chungwa, kwa kundi la
pili, vikonyo ama shina ndo mbegu yenyewe.
Nahamu na shauku kubwa kufahamu hayo matunda plz biologist naomba nijuzeni!