Uhakika.kwa hiyo sasaivi uko sustainable
duh, hongera kwakoUhakika.
Vipi wewe bro?duh, hongera kwako
nilikata tamaa kabla hata ya kuanza,Vipi wewe bro?
Hujachelewa unaweza kujifunza atleast una knowledge kidogo so hizi ICT CONCEPTS hazitakupiga chenga.nilikata tamaa kabla hata ya kuanza,
saivi i have other passions😂 nilipiga babypips pale
Alafu unakuta wanataka pesa nyingi ya mentorship. Kiufupi mi nilibahatika kutotoa pesa kwa mentor yeyote zaidi ya mmoja tu tena yule nilitoa pesa ya profit niliyopata Kwa kutrade Boom 500, nilikuwa profitable karibia two weeks nikaona anafundisha SMC Kwa pesa ndogo alafu mi ndo naisikia sikia.Retail pattern zipo kwa lengo maalumu kujazwa watu wajae halafu msemo wa kuwa retails ni nguruwe wa kuchinjwa sokoni unatimia hapo, watu hawaelew price, badala yake hukomaa na vitu ambavyo kiuhalisia havina kazi hasaa, na hapo ndo gumbling kweny Fx, wengi wanaojiita mentors kwenye Fx ni [emoji706] hakuna wajualo badala yake huchangia kuonekana Fx ni betting na utapeli wakati naanza kujifunza nilikutana nao basi wakanilisha upuuzi mwingi mpaka kuja kushtuka.
dah, ile shauku imeshakufa😅 sidhani kama ntawezaHujachelewa unaweza kujifunza atleast una knowledge kidogo so hizi ICT CONCEPTS hazitakupiga chenga.
Kuna mdada mmoja anaitwa Aviona forex pale YouTube ni mwanafunzi wa ICT yeye amesummarize strategy ya ICT 2022 MENTORSHIP (ICT ana videos 41 pale). Kama uko ready naweza tuma link ukafatilia then ukishamuelewa utafute channel ya INNER CIRCLE TRADER subscribe, utakutana na Michael mwenyewe. Unaweza jifunza siku za wikiendi tu na Wala usiwe na haraka forex Iko muda wote hata ukianza 2024 sio shida kikubwa upate Knowledge.
Knowledge for free, kinachobakia ni discipline yako tu na workrate basi.
Kama ni hivyo basi, fanya kitu Roho inapenda. Unajua hii kitu usipokuwa na passion nacho itakuwa vigumu kupata Ari ya kujifunza na kuishia kugawa hela Kwa brokers.dah, ile shauku imeshakufa😅 sidhani kama ntaweza
Mkuu nimekukubali hii industry unaielewa vyema hubahatishiMwanzoni niliwahi dhani hivyo ila baadaye nikagundua kuwa hata scalpers wanatakiwa kuwa na knowledge hata ndogo ya Macroeconomics hasahasa kuelewa ile economic calendar.
Ngoja nikupe mfano tokea Jumatatu na wiki iliopita, Taifa la Jumuiya ya Wachina walitoa data ya kushuka kwa PMI , hii ilimaanisha imports ni chache kuliko exports, baada ya taarifa hiyo tu, EURUSD alishuka mpaka siku ya Alhamisi maana ukanda wa Euro huwa wanapigwa sana na news kutoka uchina. Hapo daytraders na scalpers walikuwa wanatafuta sell setups tu mwisho ikiwa Alhamisi saa kumi na mmoja jioni kupisha ADP news na Jolts jobs opening. Baadaye news mbaya ikatoka kwa USD, maana yake ni kuwa Unemployment imeongezeka mwezi June so matraders wanaamini kuwa itakuwa ngumu kwa FED kuraise interest rates ila wataamua kupause, EURUSD&GBPUSD NA GOLD zikaanza kujitune kubuy since Alhamisi, hapo daytraders na scalpers wanabidi watafute buy setups na NFP akawa upande wa buyers maana Kuna correlation kubwa sana ya ADP, Unemployment claims na JOLTS JOBS OPENING.
Katazame charts na economic calendar utaelewa nachokiandika.
Mfano wa pili ni Uchaguzi wa Uturuki, Rais Erdogan alipochaguliwa kuwa Raisi, aliweka mtazamo wa kuwa hapa lazima tu-cut interest rates, USDTURKISH LIRA ikapanda, hapa daytraders inabidi atafute buysetups tu Kila siku mpaka pale atakaposikia wamebadilisha maamuzi , ilipanda kwa wiki tatu, imagine ungekuwa na hii knowledge, hata kutaka pesa za mentorship huwazi kabisa ni ndogo mno kwa pesa zilizopo sokoni kwa dump money.
Mfano wa mwisho, JPY pairs , mwangalie GBPJPY na pairs za JPY, Gavana mpya wa Bank of Japan alitangaza kuwa Japan wataremain na low interest rates ya 0.1% alaf Mr. Bank Of England, Bank of Australia, FED wao wanafanya rates hike . JPY kagawa utamu mwezi mzima............na ukimtazama GBPJPY, hakuna technical traders angewaza kuingia maana angejiona amechelewa na pia price ilikuwa Haifanyi collection, kama USDTURKISH LIRA.
ANYWAY NAKUPA MSEMO MMOJA WA BEST SINGAPORE FOREX TRADER, KAREN FOO " 90% OF RETAIL TRADERS LOSE MONEY BECAUSE THEY HATE MACROECONOMICS WHICH MOVES THE MARKETS".
MWISHO AMINI UNACHOKIAMINI, ILA IN A LONG RUN TUTAZALISHA WATU KAMA ONTARIO WANAODANGANYA WATU KUPITIA MENTORSHIP KUWA TECHNICAL ANALYSIS IS ENOUGH. WAULIZE KWANN SASA WANAFUNDISHA KWA PESA WAKATI WANASEMA FOREX INA PESA NYINGI SANA.
Karen Foo anafundisha Bure kabisa. Michael J Huddleston, mgunduzi wa SMC ukisikiliza Twitter space zake yeye huwa ni Macroeconomics tu.
Bro elimu ya macroeconomics wewe umejifunzia wapi? Maana naona bado nina safari kidogo kwenye hii gameTo be honest , nilianza kuwithdraw pesa mwaka jana baada ya kuwa inconsistent kwa mwaka mzima(namaanisha 2021). Ila sijapoteza pesa nyingi, nimechoma akaunti chache , kwasababu ilikuwa nikichoma tu, narudi kwenye charts naweza Kaa hata miezi miwili nikichunguza kwanini, hapo ndo nikaanza kupiga Macroeconomics, ndo ikanipa mwanga wa kwanini.
Good for you bro, na hili ndo lilikuwa lengo langu ili tujifunze vitu vingi katika industry hii ambavyo pengine nje huko watu wamekuwa wakipotosha.For be honest nimeifatilia hii thread mpka hap kun ki2 kikubwa san nimejifunza hope ntaendelea kujifunza ving bless up for ol
Hivi SMC na ICT tofauti yake ni nini?Hujachelewa unaweza kujifunza atleast una knowledge kidogo so hizi ICT CONCEPTS hazitakupiga chenga.
Kuna mdada mmoja anaitwa Aviona forex pale YouTube ni mwanafunzi wa ICT yeye amesummarize strategy ya ICT 2022 MENTORSHIP (ICT ana videos 41 pale). Kama uko ready naweza tuma link ukafatilia then ukishamuelewa utafute channel ya INNER CIRCLE TRADER subscribe, utakutana na Michael mwenyewe. Unaweza jifunza siku za wikiendi tu na Wala usiwe na haraka forex Iko muda wote hata ukianza 2024 sio shida kikubwa upate Knowledge.
Knowledge for free, kinachobakia ni discipline yako tu na workrate basi.
Ok means ICT imekuwa more simplified?ICT ni Modiffication ya SMC.
Na betting nayo hvo hvo inakufanya unakua huwazi michongo mingine ndio kisa Cha kuachaTatizo la forex inakufanya udharau kazi zingine unakuwa unajipa moyo utaingiza hela umelala
Ni kitu kilekile.Hivi SMC na ICT tofauti yake ni nini?
Ok umenifumbua macho mkuuNi kitu kilekile.
SMC ni course.
ICT ni mtu aliyeiunda , jina lake kingine ni Michael J Huddleston na anafundisha Bure YouTube.
Bro tunashauri kama hujawa vizuri kwenye Trading kama una kazi yako unaifanya ishkilie na wala usiidharau, maana trading might dissapoint you na ukawa broke,Tatizo la forex inakufanya udharau kazi zingine unakuwa unajipa moyo utaingiza hela umelala