Nitajuaje kama gari nayotaka kununua Ili hukuliwa kwa mkopo kwingine

Nitajuaje kama gari nayotaka kununua Ili hukuliwa kwa mkopo kwingine

Ngoshera

Member
Joined
Jun 6, 2020
Posts
65
Reaction score
68
Kwa wazoefu naomba kufahamu hili,

Nitajuaje kuwa gari ninayotaka kununua Kwa mtu kaichukulia mkopo sehemu?
 
Ngoja nikae mbele kabisa
JamiiForums1397903208.jpg
 
Kwa wazoefu naomba kufahamu hili,

Nitajuaje kuwa gari ninayotaka kununua Kwa mtu kaichukulia mkopo sehemu?
Mara nyingi kama gari imechukulia mkopo, kadi original ya gari hubaki sehemu iliyokopewa.

Hivyo kabla hujanunua hakikisha unaiona kadi original na sio copy.
Ukiona unazungushwa kupewa original card basi jua kuna shida mahali.
 
Mara nyingi kama gari imechukulia mkopo, kadi original ya gari hubaki sehemu iliyokopewa.

Hivyo kabla hujanunua hakikisha unaiona kadi original na sio copy.
Ukiona unazungushwa kupewa original card basi jua kuna shida mahali.
Ahsante sana mkuu.
 
Mara nyingi kama gari imechukulia mkopo, kadi original ya gari hubaki sehemu iliyokopewa.

Hivyo kabla hujanunua hakikisha unaiona kadi original na sio copy.
Ukiona unazungushwa kupewa original card basi jua kuna shida mahali.
Kuongezea ni kwamba mkataba huwa unatakiwa kuweka wazi kabisa kuwa baada ya kuuziana hiyo gari hakutakiwa na liabilities nyingine zozote ambazo hazikuwa disclosed awalily ya yote.

Mkataba unatakiwa kuweka wazi kuwa anayeuza gari ameshaclear madeni yote yanayohusiana na gari na kama yapo aweke bayana ili anayenunua awe anajua kuwa ananunua gari na mzigo gani.

Mkataba ukiwa hivyo then nyote mnakuwa on the safe side.

Its very important raia kujifunza kudesclose important details za bidhaa/huduma kabla ya mteja kufanya manunuzi ili kuepusha migogoro.

Unaenda hotelini unaambiwa vyumba vyote vina choo ndani na vinatumia AC system. Unaingia unakuta AC mbovu, maji hayatoki vizuri bafuni au ni ya chumvi, flushtank haifanyi kazi. Hapo umemtapeli mteja. Sio poa.
 
Back
Top Bottom