Kiazi Kitamu
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 122
- 126
Asalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-
1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.
2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?
3.Je nitajuaje kama mashoga na wao wanawekwa kwenye orodha hiyo?
4.Je na mabasha wao?
Msaada wenu tafadhali
Sorry ni makosa ya kimaandishiDuh ndo nini kaka?
mashoga tena?
halafu unafuta baada ya kustukiwa
Msaada wenuAsalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-
1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.
2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?
Msaada wenu tafadhali
CRB ni mfumo rejea wa mikopo. Ni mikopo yote iliyolipika na isiyolipika (hata kama bado ni mkopo endelevu unaolipwa kwa wakati). Kama umekopa benki au taasisi rasmi za ukopeshaji jina lazima liwekwe kwa ajili ya rejea. Hii taarifa huwezi kuitoa hata kama umelipaAsalaaam wanajamvi! Kuna kitu kinaitwa Credit Reference Bureau kinahusika na list ya madeni yasiyolipwa na kuripotiwa kwao kutoka taasisi za kifedha(wakopeshaji)
Nahitaji kufahamu haya yafuatayo:-
1. Je nitajuaje Kama Niko kwenye list ya CRB. Na taasisi zilizo ripoti Jina langu.
2. Je nitafutaje mkopo na Jina langu kwenye ripoti ya taasisi za CRB?
Msaada wenu tafadhali
Bora ulimquote, nilitaka nikulaumu kumbe ame edit?Duh ndo nini kaka?
mashoga tena?
halafu unafuta baada ya kustukiwa
Niko Arusha Ndugu yanguKiazi Kitamu upo Dar au mkoa gani?, kama upo Dar nikuelekeze ofisi yao CRB ilipo uwatembelee.