Asante sana Mjuzi Nokia embu Niambie kwa Hapa Bongo Rolex naeza Kuuziwa kwa Sh Ngapi?Serial number...za original zinakuwa marked vizuri sn na zinang'aa ukimulika na mwanga
Cyclops...ile sehem ya kuonyesha tarehe kwenye original rolex inakuwa na lens
Micro-etched crysta....rolex za kuanzia mwaka 2002 zinakuwa na tiny rolex logo katika ile sehem ya saa 6(6 o'clock position) hii logo ni ndogo sn utaiona kama ukitumia lens tu
Ndyo uliyonunuliwa na boyfriend wako?hii hapa og niliagizia kutoka ulaya 6000$
Hii Rolex fake kwa kuiangalia tu.Ndyo uliyonunuliwa na boyfriend wako?
Sasa unanibia ili iweje mimi sitaki marafiki humuHii Rolex fake kwa kuiangalia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa unanibia ili iweje mimi sitaki marafiki humu
Niambie rafiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Si umesema hutaki marafikiNiambie rafiki
Wewe ni mwanangu wa faidaSi umesema hutaki marafiki
Kumbe unanikumbuka nikajua ulisha nisahau maana mods wamefanya Ban kama kitu cha kawaida kwako.Wewe ni mwanangu wa faida
Wananionea tu mkuu ila nikipata mtu wa kuwa ananiombea msamaha itakuwa vizuri zaidiKumbe unanikumbuka nikajua ulisha nisahau maana mods wamefanya Ban kama kitu cha kawaida kwako.
Kwahiyo ile nyingine imepigwa Ban?Wananionea tu mkuu ila nikipata mtu wa kuwa ananiombea msamaha itakuwa vizuri zaidi
3 kabisa mkuu zimesepa hii naimbembeleza tuKwahiyo ile nyingine imepigwa Ban?
Mojawapo ndo ile ya ......... Wenu?3 kabisa mkuu zimesepa hii naimbembeleza tu
Mkuu wewe acha tu issue zingne nizakufuatana PMMojawapo ndo ile ya ......... Wenu?
Basi kama vp mi nakungoja hukoMkuu wewe acha tu issue zingne nizakufuatana PM
Mida mkuu ngoja nilale kwanza maana afya yangu haipo njema sana siku ya 4 sasa nipo hoi kitandaniBasi kama vp mi nakungoja huko