Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga iandane na matendo. Matendo mema hayabudi kuendelea ata baada ya funga. Kila la kheri.Nitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
Shida yenu mnaishi kinafkiNitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
Kwa hiyo humpi penzi Mbowe hadi Ramadhan iishe? Hongera zako.Nitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
Huna unachoongeza zaidi ya uchawa nenda salama chawa wa SamiaNitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
Ahaa!Nitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
Wanasiasa wanafungaMfungo mwema.
Hivi kwanini huu uzi upo kwenye siasa au mfungo ni siasa!
Hata wakiristo mnafanya hivyo. Ndio maana kila wanaomba msamaha kanisa katoliki kila siku.Tena huko sio gesti bali watoto wadogo. Kenge nyamazamaostaz wengi wameyagueuza madrassa kuwa gestii mazee , wanatoboana spika mlee nomaa dah, baadae unaskia wakisema allahu akubarii!!
Mwezi wa Ramadhani ni mwezi wa kuomba tobaPOLE.
MAANA TUMEKUZOEA KWA KUJIPENDEKEZA, UNAFIKI,HILA,UZUSHI,UONGO, UZANDIKI, UPOFU NA UCHAWA.
POLE SANA NDUGU.
Aamini. Tumuombe Allah atufanyie wepesi na aje atukubalie funga nzetu👃👃Nitakuwa likizo ya Ramadhani
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
AaaaminAamini. Tumuombe Allah atufanyie wepesi na aje atukubalie funga nzetu👃👃
Kwa nini Maqurash walikuwa wakifunga Ramadhan?Nitakuwa likizo ya Ramadhani.
"Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)