Huwa najiuliza, manabii na mitume waliotajwa kwenye vitabu vitakatifu waliishi maisha ya shida sana, na wengi wao waliishia vifo vya mateso makali ikiwamo kukatwa vichwa. Lakini manabii wa sasa wanaishi maisha very expensive, wanavaa nguo za gharama, maono yao ni kuwa ukiingia kanisani kwake utakuwa tajiri, hivi hawa wakianza kufanyiwa mizengwe kama manabii wa zamani si wote watakana kuwa ni manabii? Najiuliza tu!!! Itokee kichaa mmoja aanze kuwafunga tu, kuna atakaebaki kweli?!!