Rivaldo shirima
Member
- Dec 31, 2018
- 15
- 11
Jamani samahanini, mimi ni mgeni humu JamiiForums. Kwa sasa nipo Bagamoyo nimemaliza Advance mwaka huu lakini chuo nitaenda next year.
Baada ya kurudi jeshi mujibu wa sheria, nimefungua duka langu la nguo but still bado halijawa kubwa. Naombeni msaada nitakuzaje biashara yangu au nitapata wapi nguo bei ya jumla nzuri kwa bei nafuu, kwa maana mtaji wangu bado haujaiuwa Sana.
Asanateni
Baada ya kurudi jeshi mujibu wa sheria, nimefungua duka langu la nguo but still bado halijawa kubwa. Naombeni msaada nitakuzaje biashara yangu au nitapata wapi nguo bei ya jumla nzuri kwa bei nafuu, kwa maana mtaji wangu bado haujaiuwa Sana.
Asanateni