Rivaldo shirima
Member
- Dec 31, 2018
- 15
- 11
Mzigo wa Kwanza nilichukua kariakooHizo nguo kwa sasa unachukulia wap?
unauza nguo za grade gani?
unauza nguo za Jinsia gani?
nje ya physical shop unatumia njia gan nyingine kujitanua kibiashara?
Natangaza through WhatsApp and also am trying to inform baadhi ya my friendsHizo nguo kwa sasa unachukulia wap?
unauza nguo za grade gani?
unauza nguo za Jinsia gani?
nje ya physical shop unatumia njia gan nyingine kujitanua kibiashara?
Mzigo wa Kwanza nilichukua kariakoo
And ni nguo za kiume
Yan ndo nimefungua kama 3 weeks ago....nimeweka mzigo mara moja tu ambayo iyoo mara moja ilikuw kariakooBaada ya hapo ukachukua wapi?
jibu basi vizuri ili tujue tunafanyeje?
basi lisome soko lako jua wanataka vitu gani,Yan ndo nimefungua kama 3 weeks ago....nimeweka mzigo mara moja tu ambayo iyoo mara moja ilikuw kariakoo
Sawa Sawa nashukurbasi lisome soko lako jua wanataka vitu gani,
kuna uzi humu una machimbo ya kariakoo
bila shaka ukifika kule huwa unatafuta bei itakayo kulipa
kuwa na nidhamu na pesa yako,ikiwezekana kwa mwanzoni usiiguse kabisa tumia faida kukuza mtaji
fanya hesabu ya running cost na faida yako kwa umakini
lets say unanunua kadet 17,000
weka usafiri 500
kodi 2000
umeme 100
faida 3000 so itakuwa 22600 kwa kadet moja
faida yako itenge saving 1500
matumizi binafsi 1000
emergency 500
ukifanya hivyo utakuza mtaji...
Asante kwa hii comment. Imenifundisha kitubasi lisome soko lako jua wanataka vitu gani,
kuna uzi humu una machimbo ya kariakoo
bila shaka ukifika kule huwa unatafuta bei itakayo kulipa
kuwa na nidhamu na pesa yako,ikiwezekana kwa mwanzoni usiiguse kabisa tumia faida kukuza mtaji
fanya hesabu ya running cost na faida yako kwa umakini
lets say unanunua kadet 17,000
weka usafiri 500
kodi 2000
umeme 100
faida 3000 so itakuwa 22600 kwa kadet moja
faida yako itenge saving 1500
matumizi binafsi 1000
emergency 500
ukifanya hivyo utakuza mtaji...
Enx alot be blessedPia angali wtu wnokuzunguka wantka nini , kama ni T-shirt basi unatafuta chimbo zuri LA T-shirt za bei Nzuri na wewe uuze kwa faida kidogo kulingana na watu wanaokuzunguka ni wa kipato gani ... Pili tangaza bidhaa kwenye social network fb hata insta piga picha safii tangaza ikibidi fanya ads hukosi wateja na biasharaa kukua kwasabb ndo unaanza usiajir mtu piga kazi mwenyew kwanza
All the best
Ooh sawaaHiyo mind set ya Marafiki ndyo wawe wateja wako achana nayo huwa naikataa kabisa kwenye biashara yeyote utaishia kuwanunia ukiwaona wamevaa nguo mpya ambazo hawajanunua kwako
Kumbuka hizo nguo zinapotengenezwa kule China yule mtengenezaji hakulenga soko lake liwe ni marafiki zake, mwisho hununuliwa na wale asiowafahamu kabisa na ndvyo biashara inataka
Whts that!Mkuu manengelo I'm waiting here
mpe dogo ushauri maana najua kwa maneno yako machache hawezi kosa chochoteWhts that!
Nadhan umekosea uzi mkuu...umemix mambo!maana hauendani na unayisemampe dogo ushauri maana najua kwa maneno yako machache hawezi kosa chochote
Ooops..sijasoma..ntachangia asb😅Nadhan umekosea uzi mkuu...umemix mambo!maana hauendani na unayisema