Nitalipwa kwa njia gani? msaada!

Nitalipwa kwa njia gani? msaada!

Columbus

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
2,002
Reaction score
651
Nimepata mteja wa industrial laptop yangu nje ya nchi(Spain)na ametaka kuinunua, sasa nimeshindwa nianzie wapi? kama nitaamua kutumia Carrier kama DHL taratibu zikoje, malipo yatafanyikaje kuepuka utapeli? nadhani jibu litakuwa na manufaa kwa wengine pia.
 
Nimepata mteja wa industrial laptop yangu nje ya nchi(Spain)na ametaka kuinunua, sasa nimeshindwa nianzie wapi? kama nitaamua kutumia Carrier kama DHL taratibu zikoje, malipo yatafanyikaje kuepuka utapeli? nadhani jibu litakuwa na manufaa kwa wengine pia.

Mkuu, napendekeza utumie njia ya escrow. Escrow ni kampuni ambayo inachukuwa nafasi ya mtu wa tatu kwenye biashara ili kuhakikisha mnunuzi na muuzaji wameridhika na biasharaa. Hiyo ni kusema mnunuzi atalipa escrow kwanza, wewe utatuma mzigo direct kwa mnunuzi na tracking number uwape escrow. Watahakikisha mnunuzi amepokea mzigo na ameridhika ili wakukabidhi hela yako. Hapo hakuna yeyote ataweza kumtapeli mwingine. Ili kuelewa zaidi na kujisajili kwenye escrow nenda kwenye hii link https://www.escrow.com/solutions/escrow/process.asp

 
Last edited by a moderator:
Nimepata mteja wa industrial laptop yangu nje ya nchi(Spain)na ametaka kuinunua, sasa nimeshindwa nianzie wapi? kama nitaamua kutumia Carrier kama DHL taratibu zikoje, malipo yatafanyikaje kuepuka utapeli? nadhani jibu litakuwa na manufaa kwa wengine pia.

1.napendekeza utumie njia ya escrow. Watahakikisha mnunuzi amepokea mzigo na ameridhika ili wakukabidhi hela yako. Hapo hakuna yeyote ataweza kumtapeli mwingine. Ili kuelewa zaidi na kujisajili kwenye escrow nenda kwenye hii link https://www.escrow.com/solutions/escrow/process.asp

2. malipo ufanyika kwa njia ya debit/credit cards/ paypal/ alertpay etc
 
Kweli jf ni nioumer!!!!! Thanks a lot chash, umetusaidia wengi sana
 
1.napendekeza utumie njia ya escrow. Watahakikisha mnunuzi amepokea mzigo na ameridhika ili wakukabidhi hela yako. Hapo hakuna yeyote ataweza kumtapeli mwingine. Ili kuelewa zaidi na kujisajili kwenye escrow nenda kwenye hii link https://www.escrow.com/solutions/escrow/process.asp

2. malipo ufanyika kwa njia ya debit/credit cards/ paypal/ alertpay etc


Samahani mkuu hizi njia ulizoshauri zinafanyika hapa Tanzania, benki za Tanzania zinatoa Debit/Credit cards zinazotambulika kimataifa? na hizo paypal na alertpay ni nini?
 
Back
Top Bottom