Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 77
- 271
Umemjibu vemaUnatafuta nini humu wewe huu sio wakati wa kuomba kura!.. by the way kwanini wanasiasa wengi mnajitanguliza nyinyi kwanza kuliko utaifa...? Mnabeba mabendera ya chama kuliko ya taifa!! Tuwaelewe vipi..?
Nawewe ni chawa kama chawa wengine....?
Kwanini mnataka kuuza bandari?Naitwa Comrade Ally Maftah
1. Ni rafiki wa wote
2. Mwanasiasa wa Jiji la Mzizima
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
3. Mjasiliamali na mwanzilishi wa mtandao wa kirafiki wa CAM STORE unaojihusisha na Biashara mseto kwa kuwashirikisha wazalendo wenzetu
4. Mtoa elimu kuhusu ujasiliamali, ufugaji na mitindo ya maisha kupitia mashairi, njimbo, riwaya, hadithi na vitabu.
5. Comrade Ally Maftah ni msomi wa level ya Shahada ( Bachelor )View attachment 2720836
Akikujibu nitag.Unatafuta nini humu wewe huu sio wakati wa kuomba kura!.. by the way kwanini wanasiasa wengi mnajitanguliza nyinyi kwanza kuliko utaifa...? Mnabeba mabendera ya chama kuliko ya taifa!! Tuwaelewe vipi..?
Nawewe ni chawa kama chawa wengine....?
Unaichukia CCM kuliko Shetani mwenyewe.Unaliwa...☹️
Akikujibu unitag mkuu
Lengo la kijiweka hapa ni nini haswa?Naitwa Comrade Ally Maftah
1. Ni rafiki wa wote
2. Mwanasiasa wa Jiji la Mzizima
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
3. Mjasiliamali na mwanzilishi wa mtandao wa kirafiki wa CAM STORE unaojihusisha na Biashara mseto kwa kuwashirikisha wazalendo wenzetu
4. Mtoa elimu kuhusu ujasiliamali, ufugaji na mitindo ya maisha kupitia mashairi, njimbo, riwaya, hadithi na vitabu.
5. Comrade Ally Maftah ni msomi wa level ya Shahada ( Bachelor )View attachment 2720836
Kwa Bandari wewe uko upande gani tukujue?Naitwa Comrade Ally Maftah
1. Ni rafiki wa wote
2. Mwanasiasa wa Jiji la Mzizima
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
3. Mjasiliamali na mwanzilishi wa mtandao wa kirafiki wa CAM STORE unaojihusisha na Biashara mseto kwa kuwashirikisha wazalendo wenzetu
4. Mtoa elimu kuhusu ujasiliamali, ufugaji na mitindo ya maisha kupitia mashairi, njimbo, riwaya, hadithi na vitabu.
5. Comrade Ally Maftah ni msomi wa level ya Shahada ( Bachelor )View attachment 2720836
Umepotea njia kijana.Naitwa Comrade Ally Maftah
1. Ni rafiki wa wote
2. Mwanasiasa wa Jiji la Mzizima
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
3. Mjasiliamali na mwanzilishi wa mtandao wa kirafiki wa CAM STORE unaojihusisha na Biashara mseto kwa kuwashirikisha wazalendo wenzetu
4. Mtoa elimu kuhusu ujasiliamali, ufugaji na mitindo ya maisha kupitia mashairi, njimbo, riwaya, hadithi na vitabu.
5. Comrade Ally Maftah ni msomi wa level ya Shahada ( Bachelor )View attachment 2720836