NItamjuaje baba wa mtoto!!!

Mmmh...jamaa ni yupi na mchumba ni yupi?

.... Bahati mbaya siku hiyo hiyo ya 13 jioni jamaa akaja, na dada hakuwa na ujanja wakafanya mapenzi usiku. ...!
Kwa nini anamwogopa huyo jamaa? Sasa kama anamwogopa kiasi hicho, atawezaje kumwambia ana mimba ya mtu mwingine? Si 'atauwawa' kabisa?

....Dada ikamuuma sana, kwa kuwa hadi sasa hajui baba wa mtoto atakuwa yupo. Mzunguko wake ni 28 days. Msaidieni wana JF, msimcheke, msimchambe, ni ya dunia haya!
DNA tu. Kwa vyovyote vile, hili la kuchanganya wanaume lazima litamgharimu. Hata kupitia DNA akijua baba halisi wa mtoto itamsaidia nini? Maana katika kipindi cha ujauzito itampasa kuamua baba wa mtoto....labda aamue kukaa mbali kabisa na wote wawili bila mawasiliano mpaka atakapojifungua na kufanya kipimo cha DNA.
 
Huyo dada jamani hayuko serious,
atashindwaje kumuacha huyo mume wa mtu kama kweli amedhamiria?

Hapo hana ujanja asubiri tu mtoto azaliwe kama Dr. Riwa alivyoshauri.
Mume wa mtu mtamu. Source: daughter.

Hujambo my daughter wangu?

Mi nakumiss sana aisee.
 
Kweli dunia tambara bovu! ukalale na wanaume wawili tofauti kwa tofauti ya masaa tu!


Mi mwenyewe ndo nashangaa
utafikiri yupo kwenye biashara lol
tena akome mara mia....................kwani alibakwa kwa ufupi ni ***********
 
By Angel msoffe
aliyemega mchana atakuwa amechangia pua na maskio, wa usiku amechangia mdomo na nywele vingine kabeba vya mama,

teheteheteheteheh..........pls jamani mbavu zangu mie

Nami kanichekesha sana huyu Msoffe. Aitoe hiyo mimba ili ajipange upya. Namsikitikia alidanganywa na huyo mwenye mke - kafanya vibaya. Huyo babu alitakiwa akubali na kuwa MC kwenye harusi ya bibie na kijana wake. Naogopa kubashiri nani ana uwezekano wa mimba kuwa yake maana hapa sio mahala pake.
 

Angel, point taken!
 
hahaahahah....hapo zamani za kale....umepoteza hela unaenda dukani...then inaweka mate mkononi unayapiga....yalikorukia ndo hela ilipo unaanza kuitafuta upande huo.....
Simple,awaite wote wawili wasimame kushoto na kulia kwake. Ateme mate meengi kwenye kiganja cha kushoto,then ayapige na vidole viwili baada ya gumba.yatakaemrukia ndo baba wa mtoto. Kila la kheri
 
kweli ya MUNGU mengi ya kuku mayai.............hana tofauti na changudoa
 
hahahahahahha si mchezo...mtoto atatoka na sura mbili
 
hivi kweli amedhamiria kumuacha huyo mume wa mtu au bado yupo mguu ndani mguu nje???
kama ana nia kweli hawezi kushindwa. ona sasa yaliyo mkuta ana bakia anajuta.
DNA ndio itatoa majibu, mpe pole.
 
Afadhali umekumbuka! Na ilikua inafanya kazi vizuri tu na unampata mwizi wako. Hakuna haja ya dna, labda akikosea tena kwa mtoto wa pili (we tend to attract the same kind of trouble unajua)
hahaahahah....hapo zamani za kale....umepoteza hela unaenda dukani...then inaweka mate mkononi unayapiga....yalikorukia ndo hela ilipo unaanza kuitafuta upande huo.....
 
Simple,awaite wote wawili wasimame kushoto na kulia kwake. Ateme mate meengi kwenye kiganja cha kushoto,then ayapige na vidole viwili baada ya gumba.yatakaemrukia ndo baba wa mtoto. Kila la kheri

hahahahahahahah ana ana ana dooooooooo..................dah umenikumbusha mbali sana wakati nacheza chandimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…