Hii ni changamoto kwa wataalam; inabidi wagundue sperm litmus detector tuitumie wanaume kabla ya ku do.............unatanguliza hiyo ikujulishe kuwa huko ndani hakuna sperms za mwingine zilizopata hifadhi!
Anaweza kupima prenatal pertenity test....
Atafute to hosp wanayofanya hivyo alafu ahakikishe ana sample ya DNA ya mmoja wa hao wanaume.
Ila awe mwangalifu kwasababu kuna risk ya miscariage na infection.