Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

NGULI

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
4,801
Reaction score
643
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.

Nitampata wapi huyu bibiye.
 
opoa wote tu hao..
mwisho ndo utajua yupi anaekufaa......
 
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.

Nitampata wapi huyu bibiye.
Hapo kwenye bold niko kimaslahi zaidi.

Ongeza na hii kiongozi ili upate kitu murua 100%.
Awe mshauri nasaha kama Mwanajamiione
Awe anadeka kama Pearl
Asiwe anatema kiblurey kama Noname.
Ajue kujiandaa kama Shishi.
Awe na sifa ya kujifungua bila woga kama mama 5Js
Awe anakumisi kama babylove................
 
Hapo kwenye bold niko kimaslahi zaidi.

Ongeza na hii kiongozi ili upate kitu murua 100%.
Awe mshauri nasaha kama Mwanajamiione
Awe anadeka kama Pearl
Asiwe anatema kiblurey kama Noname.
Ajue kujiandaa kama Shishi.
Awe na sifa ya kujifungua bila woga kama mama 5Js
Awe anakumisi kama babylove................

kwa safari, netball, kuimba au......
 
Kweli Bw. Kimey, hata me naona weekend imeanza, zinaanza kudondoshwa laini laini kudissolve sumu za week nzima kwenye mind. Teh teh
 
i see nguli huyu mrembo unayemtaka yuko mahala lkn unahitaji msaada wa roho wa mungu ili uweze kumpata.!
 
i see nguli huyu mrembo unayemtaka yuko mahala lkn unahitaji msaada wa roho wa mungu ili uweze kumpata.!
Ongeza juhudi, bahati inaweza kuwa yako.
Huyu kijana yuko desperate. Ameshaniomba niwe bestimani kwenye harusi yake.
 
Shemeji una maanisha nini?n Mdogo wangu ana habari hii?
 
Nguli unajua pa kunipata darling au sio??? kwenye PM........
 
Ongeza juhudi, bahati inaweza kuwa yako.
Huyu kijana yuko desperate. Ameshaniomba niwe bestimani kwenye harusi yake.
i love broda Nguli lkn vigezo vyake daaah sina vyote mtu wangu.
lkn afate ushauri wangu niliompa.afunge,asali,amlilie mungu maombi maombi maombi tu.
vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
 
Kweli Bw. Kimey, hata me naona weekend imeanza, zinaanza kudondoshwa laini laini kudissolve sumu za week nzima kwenye mind. Teh teh
Sana mtu wangu siku ya leo hakuna kujipa presha ni vitu laini laini mpaka tyme ya kukaa counter ifike!!
 
Back
Top Bottom