Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
ha ha ha hapo kwenye chaki BHT atanisadia nisije nikaongeo uwongo!!
Chaguo ni lako sissie. We sema mi natimiza.Umenikumbusha sijakula siku nyingi. Leo wapi???
I will live and die for you hun.Ameshachelewa huyo cheusi.
You made me smile,
when I could only frown.
You picked me up
when I was down.
Now i think of you
every day and night.
you came into my life
and made everything right.
I love you truly,
I love you wholly.
I love you completely,
I love you solely.
Thank you so much!!!
Malkia wangu atakufafanulia. Hebu msome hapo chini.....Xspin.....hebu fafanua hapo pa red!!!! mmmmmnh!!!
Nadhani umeelewa na tutaendelea kama zamani.Ngoja nimsaidie.......
Eti ni kuhusu 10thApril.....quiting the club(spinsters)
Unajiandaa kuolewa!!!!!!!!!!
Katikati ya mistari hommie nakuona kama unalia wivu vile. Usijali, bibie ana mdogowe tunaweza ku-do the needful tukaoa nyumba moja.Leo my hommie Valuu zitamkoma kwa hii Poem!!
Sasa wifey unaanza kwenda ofu topiki! Sikumbuki kama tulishawahi kugombana.Hizo valuu ndio ugomvi wetu mkubwa mimi na yeye.Hebu nishauri,nidiliti poem kabla hajaja?
Thanks for your understanding. Nakutakia maandalizi mema. Usinisahau kwenye mialiko.oooh okay....yes najiandaa sana!!!
Darlie vipi tena? unaulizia ulimi mdomoni?Bihechitiiiiiiiiiiiiiiiii! upo wapi mamaa.Njoo ujibu swali hapa.Kimey naye ni muumini wa hilo dhehebu?(I doubt akina shimboni nachicha ikawapitia pembeni hii kitu,ni kwa neema ya Mungu tu)
teh teh teh hommie you made my day ha ha ha nimekukubali kwa kusoma btn the lines!!Katikati ya mistari hommie nakuona kama unalia wivu vile. Usijali, bibie ana mdogowe tunaweza ku-do the needful tukaoa nyumba moja.
you cana say that again!!Mbona pearl hujamtaja kwenye hizo sifa??
Au yeye ndiye amekusanya sifa zote hizo?
Njoo hapa break point. Niko na Charity tunatafuna dona. Ulikuwa gesti gani leo?Nimerudi, nipeni samari, nani anaenda lunch na nani?
Njoo hapa break point. Niko na Charity tunatafuna dona. Ulikuwa gesti gani leo?
breakpoint ipi sasa?Njoo hapa break point. Niko na Charity tunatafuna dona. Ulikuwa gesti gani leo?
Ulivokuwa na tabia mbaya mbona hukuja nikuadhibu na castle za baridi?Msasha hiyo ni kali!!
Niko nachungulia dirishani naona hapo breakpoint mna du ze nidful
Wahi fasta!Niaagizie KICHURI na ugali naja.
mmh! usimdanganye mwenzio, mwambie atafute kwa bidii!!Inabidi ufunge kwa maombi utampata tuu
mmh! usimdanganye mwenzio, mwambie atafute kwa bidii!!
aende kwwenye shughuli za kijamii kwa bidii, kanisani, harusini, bar, disco, aanze kwenda kusoma pale chini ya ule mti wa UDSM (mdigirii)....yani startegic areas!!
Maria Roza unafanya nini huku?Haaa kumbe enhe hahha hhaha
Maria Roza unafanya nini huku?
Kule kwenu umetimuliwa?
Naona imekuharibia weekend yako. Sasa utakastopishaje kakileta vurugu? Heri yetu wanywa pombe! Hahahaha!Ahh kule kila nikiweka picha hazifunguki yani agrrrrrr!!!
ha ha....wakwetu bana , umeshaclear cookies kule kwenye mdudu lakini?