Sasa hebu soma ishara za nyakati kwa cheusimangala afu u-do the needful pale kwa ankal. Unaweza kuta mambo ya Masaki vs Midtown a.k.a The Makambako project wonder of the wedding............hommie apo ungejua....uliona wapi mwanaume anazeeka..achilia mbali vibaya...unataka shemeji Charity a do ze nidiful akupeleke angaza kwa lazima? LOL
????????????????Fasta Fasta Kiongozi. Watatucheka watu.
Fundi ni fundi hommie. Kama ilivo Fita ni Fita Mura!
Sasa hebu soma ishara za nyakati kwa cheusimangala afu u-do the needful pale kwa ankal. Unaweza kuta mambo ya Masaki vs Midtown a.k.a The Makambako project wonder of the wedding............
Hommie hajawahi kunitilia mashaka, so usijali. Huo wimbo kwa hommie unapoteza muda bure. Labda huu...................
Aramba aramba tenaaa.......... ammmmm ammmmm!
Thats my hommie!!!!!hahah hommie niemcheka hapa sina mbavu ujue! ngoja ni do ze nidiful
du afadhali.
huo wimbo sipotezi muda wewe, nikimuimbia na hii sauti yangu atazisahau nyimba nyingine zote, trust me!
Tangu nijaliwe kipaji cha kusoma katikati ya mistari, sina wasiwasi hata nikiisahau ile mawani yangu. Kakague senksi kule. BTW raha ya wimbo sauti zote nne shurti zikamate. Ya tatu na ya nne zipo tayari, we unaimba ya kwanza usisahau kumtafuta atakayeimba ya pili. You knoo wora ai miiin?du afadhali.
huo wimbo sipotezi muda wewe, nikimuimbia na hii sauti yangu atazisahau nyimba nyingine zote, trust me!
????????????????
Hommie sikujua unaimba bezi kali namna hiyo. Ngoja nijinoe kwa tennon sasa.usijali mpenzi we ndo daktari wangu wajua panaponiuma! Hommie ndo anamalizia rehab yake usimshangae sana
Vp safari ya Mkuranga mbado ipo?
dah tatizo mpwa unaibuka kama samaki baharini lol
Mpwa naumwa maralia yaani na siku 3 sinywi mpaka usingizi sipati usiku kama leo nimelala macho kabisa mkavuuuuu.
Siku akitokea gesti zenye kunguni huwa anaibuka na kusahau kupiga mswaki.dah tatizo mpwa unaibuka kama samaki baharini lol
Dah! Pole sana kiongozi.Mpwa naumwa maralia yaani na siku 3 sinywi mpaka usingizi sipati usiku kama leo nimelala macho kabisa mkavuuuuu.
Siku akitokea gesti zenye kunguni huwa anaibuka na kusahau kupiga mswaki.
usijali mpenzi we ndo daktari wangu wajua panaponiuma! Hommie ndo anamalizia rehab yake usimshangae sana
tangu nijaliwe kipaji cha kusoma katikati ya mistari, sina wasiwasi hata nikiisahau ile mawani yangu. Kakague senksi kule. Btw raha ya wimbo sauti zote nne shurti zikamate. Ya tatu na ya nne zipo tayari, we unaimba ya kwanza usisahau kumtafuta atakayeimba ya pili. you knoo wora ai miiin?
ile safari yetu inabidi tuipange upya,safari hii twende kivyetu vyetu!!!Vp safari ya Mkuranga mbado ipo?
Angalia hommie anarusha kama nchale. Utapata mimba bila kujua. Shauri yakohebu shika hapo panapokuuma mpenzi wangu nikuombee labda umetupiwa mapepo huko kibiti ulipokuwa.
πππ!!!!!!!!!!!!![/b]
??????????????