Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

Angalia hommie anarusha kama nchale. Utapata mimba bila kujua. Shauri yako

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!!!!!!!!!!!!!

hahaa utulivu 0.
yaani kumuombe tu nipate mimba!
basi nitaiifurahia mana itakua ya loho ntakatifu.
 
hahaa utulivu 0.
yaani kumuombe tu nipate mimba!
basi nitaiifurahia mana itakua ya loho ntakatifu.
Itifaki itazingatiwa. Kaizer = loho mtakatifu?....... sawa kabisa lakini si Roho Mtakatifu! Utazaa mapacha, usijesema sikukuonya.

yaani unafeli hata swali la multiple choice
Maswali ya kubahatisha huwa siyawezagi. Nisaidie jibu basi.
 


Wachukue hao wote, kila mmoja atakusatisfy kwa nafasi yake. Lakini simu yako iwe na uwezo wa kutuma sms za kutosha! Short & Clear.
 
Itifaki itazingatiwa. Kaizer = loho mtakatifu?....... sawa kabisa lakini si Roho Mtakatifu! Utazaa mapacha, usijesema sikukuonya.

Maswali ya kubahatisha huwa siyawezagi. Nisaidie jibu basi.
wala usinionye maana mwenzio kwa kaizer hata sionyeki.
na hao mapacha nitafurahi mana watakuwa mahandsome kama baba yao hommie wako.

mkuranga nitakwenda na fidel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…