Usidanganywe picha (avatar). Rose mwenyewe kasha fikia menopause. Mie nilikuwa na hamu kama wewe, lakini nilimuona nikampa shikamoo yake.
Jamani huyu dada kanivutia sana hata kama hatanipa tamu basi hata story tu nakuzimia sana tafadhali nakupataje? Natamani ungekuwa wangu wa kila siku
afadhali moyo umetulia nilijua umenipiga chini, now am happy
Wanawake wa JF nikama Panya wa ghalani ukishindana naye atakuangushia magunia!!!Kazana!keep hurnting mkuu!
oooh! swiri hati........you are missed here too.
habari ya tembo na faru.
Kuna vitu ni kama wine.... they get better with age...... unless kama ni "The older I get the better i was"... lakini kwa busara zako am sure wewe as days go on ndivyo unavyozidi kuwa betterjaman asi nilikuambia iwqe siri yako?
sasa ndo nini kila mtu anijue km mi kizee, nimefanana na lucy kibak...?
si vzur ivoo kutoa siri za ndan nje...PROMOS ME AUTAENDELEA KUNIUMBUA ZAIDI
Kutokana na utulivu na usikivu wake alishaolewa siku nyingi na sasa huyu hapa
Kuna vitu ni kama wine.... they get better with age...... unless kama ni "The older I get the better i was"... lakini kwa busara zako am sure wewe as days go on ndivyo unavyozidi kuwa better
Jamani huyu dada kanivutia sana hata kama hatanipa tamu basi hata story tu nakuzimia sana tafadhali nakupataje? Natamani ungekuwa wangu wa kila siku
NIMEKUJA jaman aujaniona>?
ahh mshemga michelle sjui yuko wap akushtue km nipo apa msimbaz police tangu saa 8
Kunani huko police? au ndo yale madeni yako tena??mshenga kazi ndo nimemaliza mkishakubaliana mniambie nianze mipango mingine....lol
Kwa jinsi jina lako linavyojieleza,
bila shaka utang'oa tu Rose, usihofu!
jino kwa jino!!!!!!!!
Wanawake wa JF nikama Panya wa ghalani ukishindana naye atakuangushia magunia!!!Kazana!keep hurnting mkuu!
Tuna minguvu eeeh,naona hukuwepo sikumbili hizi umerejea na kashfa.....ole wako!we utakuwa umekutana nao wangapi useme hivyo Kakakiiza,au ndo uchokozi wako wa kawaida???
kwa jinsi jina lako linavyojieleza,
bila shaka utang'oa tu rose, usihofu!
Jino kwa jino!!!!!!!!
mipango mingne basi
anza kutafuta pampas na poda cz the soon awa factory me n jino kwa jino wl produce..km vle kwa michelle obama anavyomsubiria mtoto kwa sasa..
Tatizo huwa nikikuuliza swali lolote hunijibu...................