Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungi + Stress + Kutokula Vizuri - Mazoezi = UzeeWeka picha ya rooney na cristiano ronaldo za sasa hv
Weka picha ya rooney na cristiano ronaldo za sasa hv
Kwa hio wale wanaokula mbaazi mbona hawazeeki wananawili na wengine wananenepa sio kawaida?Legal drugs (you call them medicine) zinazeesha jamani asikwambie mtu.
Hiyo habari itamsaidia nini?View attachment 2766540
Rigobert Song amezaliwa 1976 wakati ambapo Samuel Eto'o amezaliwa 1981.
Swali: Mbali ya umri, uzee unasababishwa na kitu gani kingine??
Mboni umebadirisha jina 'Naantombe Mushi'?Hiyo habari itamsaidia nini?
ChatGpt AI hii ndo sababu waafrica kuogopa uzeeKuna sababu mbalimbali zinazowafanya Waafrika wengi kuogopa kuzeeka. Hapa ni baadhi ya sababu hizo:
1. Umaskini: Waafrika wengi wanaishi katika mazingira magumu ya kiuchumi na wanakabiliwa na changamoto za kimaisha kama ukosefu wa ajira, huduma za afya duni...
MkuuView attachment 2766540
Rigobert Song amezaliwa 1976 wakati ambapo Samuel Eto'o amezaliwa 1981.
Swali: Mbali ya umri, uzee unasababishwa na kitu gani kingine??
Kama lengo la hizo mbaazi ni ku manipulate kinga za mwili unategemea niniKwa hio wale wanaokula mbaazi mbona hawazeeki wananawili na wengine wananenepa sio kawaida?
Nategemea kuona kuku wa kizungu wakiwa wamenona sanaKama lengo la hizo mbaazi ni ku manipulate kinga za mwili unategemea nini
Duuh! Hii kitu ndiyo inanifanya niendelee kukuna kichwa. Kwann??Mkuu
Unamfahamu Ada Turan?
Saiv kawa km mzee kabisaa
Ila kazidiwa miaka yakutosha na cr 7