Sisi wenye akili kubwa tunafahamu kuwa Haki ni kama mafuta yanapomiminwa kwenye maji,huzama chini kwa muda na baadaye huelea juu.Wameweka wagombea wa CDM at the bottom of a ballot paper on purpose,ila tunaenda hadi ukurasa wa mwisho kumtafuta mpakwa mafuta Mh.Lissu na tutamweka juu ya election results.Tupo pamoja?Orodha imepangwa kulingana na kiwango cha unafiki!
[emoji23][emoji23][emoji23] Duh ahadi zingine hizi!!Yule mama achana nae aliwahi wahaidi wasingida kuwapa maji ya kumwagilia ubuyu
Kelele ambazo hazikisaidii chama chetuPamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
Yule mama achana nae aliwahi wahaidi wasingida kuwapa maji ya kumwagilia ubuyu
Vyoyote matokeo yatakavyo kuwa, Ndugai asiwe Spika...Nikiwa na akili timamu bila kushurutishwa na mtu yeyote...tarehe 28/10/2020 Nitamwaga Sukari ziwa victoria....
period.
umenena na kuneneka ChiefNa nakwambia hata umwage tan milioni 900 maji hayatakuwa matamu ng'oo.
Tarehe 28 twende na Magufuli.
Hata wanawake weupe hawatampigia kura,Magufuli atachaguliwa na wasio na akili.
Lissu atauona Urais kwenye TV tu.Pamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
Mfano wa karatasi ya kupigia kura umeknesha nani MsindiPamoja na kuwa
1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.
2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku
3. Wamejenga Flyovers.
4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.
5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.
6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano
Ila bado sijasahau
1. Sakata la vyeti feki, dhuluma
2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine
3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda
4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
5. Kupigwa risasi kwa Akwilina
6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.
7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.
8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.
10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.
11. Ubabe wa polisi kila siku.
12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.
13. Kufungiwa kwa magazeti.
Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.
Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
View attachment 1602148
Me nafikiri inakupasa ukumbuke kuwa kura yako ni moja, hivyo ningekushauri ujikite katika swala zima la kuhakikisha haiharibiki, maana si kwa akili hizi.Dhumuni sio iwe tamu, lengo kufikisha ujumbe kuwa hata mtutishe vipi hatuwapi kura ng'oo! [emoji23]