Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
Nilikunywa fansida siku 1 mwaka 2009 nilipoamka kesho yake nilivimba uso na macho, alafu uso ukawa mweusi sehemu niliovimba. Hadi Leo bado kweusi.
Msaada kwa anaejua namna gani nifanye ili hii hali itoke tafadhari.
Nawasilisha.
Msaada kwa anaejua namna gani nifanye ili hii hali itoke tafadhari.
Nawasilisha.