Nitaondoaje Hili Tatizo Lililotokana na Matumizi ya Dawa ya Fansida

Field Marshal

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
414
Reaction score
280
Nilikunywa fansida siku 1 mwaka 2009 nilipoamka kesho yake nilivimba uso na macho, alafu uso ukawa mweusi sehemu niliovimba. Hadi Leo bado kweusi.

Msaada kwa anaejua namna gani nifanye ili hii hali itoke tafadhari.

Nawasilisha.
 
yan hiyo dawa ni sumu tosha na ukipiga na pombe ndio kabisaaaaaaaaaa umejimaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…