Nitapata chuo cha udsm

oil sumu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
787
Reaction score
47
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU
 
Hapana huwezi pata kutokana nauandishi wako hauja kidhi matakwa ya udsm pili ufaulu wako ni mdogo mno ila unaweza pata matawini nikimaanisha duce na muce
 
Ndugu, umefaulu. Kilichobaki ni ushindani tu kutokana na ufaulu wa mwaka wenu. Sie ambao hatuko kwenye system muda mrefu twaweza kukukatisha tamaa wakati mazingira ya sasa yamebadilika kwa ufaulu na idadi ya vyuo. Jaribu, u never know.

tragedy of the commons
 
mbona katka tcu wamesema cut off point 5 na kwenye my profle imeandikwa yes
 
mbona katka tcu wamesema cut off point 5 na kwenye my profle imeandikwa yes

Why udsm!? Anyway shida si cut point ila ni competition...labda hiyo education...
 
mbona katka tcu wamesema cut off point 5 na kwenye my profle imeandikwa yes
Vigezo vya kuingia UDSM unavyo, ila UDSM inachukua idadi maalum katika kila degree program! na hapo wanafuata ufaulu wa mtu. kwahiyo mpaka uje ufikiwe wewe hiyo idadi tayari imeshatosha. Nina mashaka kama unaweza kupata, ili kuwa na uhakika zaidi omba vyuo vyengine.
 
Kna jamaa anaitwa Perry mtafte.
 
Last edited by a moderator:
msimkatishe tamaa ingawa kwa matokeo yake muce na duce ndio patamfaa zaid but jarb anyway ingawa main campus kuna competition sana unaweza pata..
 
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU

Main campus huwezi kupata BAED kwa hayo matokeo yako na huo mchepuo uliosoma labda ungekuwa mchepuo wa sayansi
 
kitu gani kipo ubaoni@ perry! KWAHYO NI REMOVE UDSM?
 
Ni ngumu.....nna hiyo 13 nimeomba bcom mbili pale zote nimepigwa NO...sasa fikiria ikiwa watu wa uchumi ni wachache nami nimepigwa no itakuaje wewe wa education ambapo kuna watu kibaooo???
 
Msimpe matumaini huyu dogo akajitoso kuomba akakosa.ila koz cku hzi ni maswala yakulipia tcu is it 30,000 ka cjakosea then wachagua vyuo kadhaa unavyotaka waweza jaribu ila ingekua enzi zetu zakulipia kila chuo unachotaka ndo upate form ningekuambia wapoteza ela zako.ni hivi kwa point zako maybe uingie private ndo utapata ila ka wategemea mkopo sidhani ka utapata udsm.kama ungekua engeneering tena mwanamke ndo ungeweza pata.

Kila la kheri dogo.
 
Utapata bhana,mbona pale now vilaza wengi tu.We jaribu tu.
 
nenda kwenye app status kule cas tcu achana na pale walipoandika YES anza mwanzo kabisa kwenye code elekeza mshale wa mausi hapo utaona wanakuonyesha hiyo kozi inahitaji watu wangapi, hadi sasa wameomba watu wangapi, na kwenye hao walioomba wangapi kati yao wamemit vigezo, na kati ya hao waliomit vigezo ni wangapi wamechagua hiyo kozi kama chaguo lao la kwanza

kwa kufanya hivyo utakuwa upo kwenye nafasi nzuri kujua upo kwenye nafasi kagani kupata au kukosa
 
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU

Huwezi kupata. Hujui lolote. FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION ni kitu gani? Kama kweli ulisoma kiswahili andika kwa iswahili. Kama kweli ulisoma English Literature andika kwa kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…