Nitapata chuo cha udsm

N hv wanaotakiwa UDSM BA.ed_1600
walioomba 4000
Eligible_1400
Kati ya hizo eligible walioaply Ba.ed kama first choice n 746 nazani ka zitabakia hv ilvo atapata nafasi udsm 100% au mnaonaje wakuu
 
N hv wanaotakiwa UDSM BA.ed_1600
walioomba 4000
Eligible_1400
Kati ya hizo eligible walioaply Ba.ed kama first choice n 746 nazani ka zitabakia hv ilvo atapata nafasi udsm 100% au mnaonaje wakuu

Mkuu unaweza ukaweka hzo data na kwa walio apply chemical &process eng na civil eng ,au utuelekeze jinsi unavyoangalia?
 
Mkuu unaweza ukaweka hzo data na kwa walio apply chemical &process eng na civil eng ,au utuelekeze jinsi unavyoangalia?

ukifungua profile yako kwenye kwenye selection status kule elekeza mshale wa mouse mpaka kwenye code pale kwenye vibox vya mwanzoni then utaona maelezo wanakuletea kwa code uliyoielekezea mshale
 
ukifungua profile yako kwenye kwenye selection status kule elekeza mshale wa mouse mpaka kwenye code pale kwenye vibox vya mwanzoni then utaona maelezo wanakuletea kwa code uliyoielekezea mshale

nmekuelewa nita jaribu kesho
 
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU

O'LEVEL una ''Cut off point'' ya ngapi? Maana UDSM huwa wana ''consider'' zote mbili!!
 
kwan o level wanaangaliaje cut off point?
 
mm nimepata div 3 ya 13 cut off point n 5.5 nimesoma HKL JE NITAPATA UDSM FAKAT YA BARCH OFART WITH EDUCATION MWAKA HUU

Unaweza kupata hiyo "FAKART YA BARCH OFART WITH EDUCATION" ila Degree programme ya Bachelor of Arts with Education sahau.... you can't be serious... Kweli matunda ya shule za kata yameanza kuonekana.
 
Unaweza kupata hiyo "FAKART YA BARCH OFART WITH EDUCATION" ila Degree programme ya Bachelor of Arts with Education sahau.... you can't be serious... Kweli matunda ya shule za kata yameanza kuonekana.

Kama Huyu ana division 3 points 13 sijui wenye 4 na 0 wapo vp??????? Halafu huchelewi kukuta kasoma HKL Huyu.....so yupo vizuri sana kwenye Masomo ya Lugha
Kazi tunayo.
 
N hv wanaotakiwa UDSM BA.ed_1600
walioomba 4000
Eligible_1400
Kati ya hizo eligible walioaply Ba.ed kama first choice n 746 nazani ka zitabakia hv ilvo atapata nafasi udsm 100% au mnaonaje wakuu

Kuna possibility kubwa ya kupata maana siamini kama kufikia tar 5 watakuwa wameshajaa hadi 1400.
 
O'LEVEL una ''Cut off point'' ya ngapi? Maana UDSM huwa wana ''consider'' zote mbili!!

Ni hivi:Kama mtu ni wa jinsia ya kike,kwa divIII ya 13 arts huenda akapata,lakini kwa mwanaume mwenye ufaulu huo kwa arts asahau kabisa.
Wale jamaa wako
serious c mchezo&TCU ikiwapelekea mtu mwenye ufaulu huo, wako tayari kumtimua.
 
Ni hivi:Kama mtu ni wa jinsia ya kike,kwa divIII ya 13 arts huenda akapata,lakini kwa mwanaume mwenye ufaulu huo kwa arts asahau kabisa.
Wale jamaa wako
serious c mchezo&TCU ikiwapelekea mtu mwenye ufaulu huo, wako tayari kumtimua.

kaka huo uongo uliza kwanza ndo useme hayo maneno n hivi cut off point ndo zinaangaliwa hawaangalii jinsia kule mkuu.
 
Ni ngumu.....nna hiyo 13 nimeomba bcom mbili pale zote nimepigwa NO...sasa fikiria ikiwa watu wa uchumi ni wachache nami nimepigwa no itakuaje wewe wa education ambapo kuna watu kibaooo???

kwaka huu?
 
kaka huo uongo uliza kwanza ndo useme hayo maneno n hivi cut off point ndo zinaangaliwa hawaangalii jinsia kule mkuu.

Mimi siongei kitu ambacho sina ushahdi nacho,amini nakuambia.
-Katika guide book hawajaonesha jinsia lakini admission office UDSM ina utaratibu huo.
-Pia tazama orodha ya watu waliodahiliwa UDSM kwa miaka kadhaa iliyopita,hakuna ME mwenye 3 aliyefanikiwa kupenya,haijalishi ana matokeo gani f4.
-Ni ME yupi mwenye 3 ya arts amedahiliwa UDSM?
Kama yupo katumia "panya road"
-Zaidi nenda kaulizie Admission office UDSM ndipo uje kunikosoa?
-Guide Book isikupe jeuri,na kama huamini jaribu na hyo div3 yako ya arts then you will see how things goes.
 
Ni hivi:Kama mtu ni wa jinsia ya kike,kwa divIII ya 13 arts huenda akapata,lakini kwa mwanaume mwenye ufaulu huo kwa arts asahau kabisa.
Wale jamaa wako
serious c mchezo&TCU ikiwapelekea mtu mwenye ufaulu huo, wako tayari kumtimua.

Mkuu The Hyper https://www.jamiiforums.com/member.php?u=13422Hata kama ni KE watangalia pia na ''cut off pts'' za O'level, Anyway, kwenye 'guide book' ya TCU ajaribu kuangalia 'intake requirement' ya kozi anayotaka kwa chuo husika lkn zaidi sana afanye dua/maombi maana hakuna linaloshindikana chini ya Jua.
 

siamin kaka ndo maana kukawa na eligibility na non eligibility sa kwa nn wenye 13 wasiwawekee NO kupata watapata kaka ila sema watakua wachache na si kwamba watakosa then nimetoka kuangalia mda c mrefu nmekuta facult status ya Ba.ed udsm Capacity_1600
walioply mpaka sasa_6174
Eligible_1503
walioaply as first choice_743
sa kaka kama ana hyo 13 ameaply hyo koz as 1st choice na hali ikiendelea kuwa hvo kwa nini asipate ka ameaply as 1st choice
 
Unaweza kupata hiyo "FAKART YA BARCH OFART WITH EDUCATION" ila Degree programme ya Bachelor of Arts with Education sahau.... you can't be serious... Kweli matunda ya shule za kata yameanza kuonekana.

Baba V bora hata umesema, yaani 'form VI leaver' hata 'cut and paste' inamshinda? Je, akiingia chuo itakuwaje? Ndio hawa wanatupaga shida huku vyuoni!! Lakini labda kosa si lake bali ni la yule aliyeondoa ''chujio'' kwenye mitihani yao ya Form II
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…