Nitapata wapi a psychologist

Nitapata wapi a psychologist

Mkuu mi mwenyewe nahisi niko kwenye depression
Sema bongo hatuna wataalam kama nchi za wenzetu yaan ningefaa kupata therapy kubwa kabsa.
I
 
niko hapa Psychologist lol,

weka goals ndogo ndogo ambazo ni achievable,ukifanya successful zitakurudishia confidence,

structure your day......kuanzia saa Fulani mpaka saa Fulani niko hapa nafanya kile.....

usikae idle....

Fanya mazoezi ya viungo,utachoka utalala vizuri hutopata muda wa kuanza kuwaza vitu ambavyo vinaku depress,

Mwisho hauko peke yako,one in four people experience mental health difficulties at some point..................just keep on fight
 
Habari wana JF. I think I have a severe depression ambayo imetokana na a combination of recurring failures and constant disapointments from people. I feel like I am a total failure although growing up I've always felt superior pretty much than anyone else. Now that I'm growing up, I feel like I'm a total failure. Nothing I do gets to be successful despite putting all the effort, mwisho wa siku I someone else does it better with minimum effort. My social life is a total chaos. I've tried to blend in with society but I always get that natural social exclusion, I just can't blend in. Poverty. Watu wengi pia wananiangusha sana, despite investing ALL my time and energy whenever they have problems, they are just not there for me when i need them. I get disappointed but I've managed not to show it. My relationship life is also crumbling. Nasumbuliwa na tatizo kubwa la insecurity, jealousy, envy and inferiority complex. Hivi vitu vinanitafuna sana sometimes I think of doing very bad things to myself. I'm sorry kwa mlolongo ambao hauko clear, I hope you're getting a point of what I'm saying. I need urgent psychiatric help. it's serious. Naomba msaada wa kimawazo pia wapi nitapata a good psychological help. A hospital maybe? ambayo wanatumia bima for psychiatric therapies? kama ipo plz nielekeze.
Brother, kuna msema unaosema "don't blame the one who pushed you down but Blame yourself for not standing up" kwa hiyo katika maisha tunapitia failures nyingi Sana hivyo hatuna budi kukabiliana na kila jambo linalojitokeza. Pia jifunze kitu kimoja, unaposaidia mtu , usimsaidie ili aje akusaidie Bali saidia kwa sababu umeguswa kufanya hivyo. Watu wengi huwa hawajikubali, kwanza anza kujikubali kwamba wewe ni wewe hakuna mwingine, thamani yako ni kubwa kuliko yule na unaweza ukafanya lolote pale muda utakapokuwa tayari. Epuka kuangalia Fulani amefanya nini na wewe umefanya nini kwa sababu wewe si yeye. Penda muda mwingi kuwa na mtazamo chanya siyo kila jambo unalijengea mtazamo dhaifu hiyo ni hofu. Badili mbinu zako za kukabiliana na changamoto kubwa na ndogo, be solution fucused siyo kila jambo unaliweka kichwani.
 
Jifunze vufuatavo katika maisha yko ya kila cku:-
Usimwamini mtu...
Saidia ukimaliza sepa dnt xpect somethin
Af jifunze kula bata mwenyewe sio zile had uwe na m2 fulan ndio uenjoy...
Kama utashindwa jifunze pia kuwaclass rafik zako ....kuna rafik wa sabab mfano unafanya nae kaz...au umezoeana ...ukampa nafasi kubwa moyon kwako kumbe yye kuna mtu anae mthamin zaidi so utaishia kuumia...
Strategy or method ya kujifunza hayo yote ni kuwabize kupindukia manake unaunyima ubongp kua free...
Trust me utazoea....tu taratibu ukizangatia

Disclamer:all about writen z from my personal xprience m not pro or pyscologist.
 
Jifunze vufuatavo katika maisha yko ya kila cku:-
Usimwamini mtu...
Saidia ukimaliza sepa dnt xpect somethin
Af jifunze kula bata mwenyewe sio zile had uwe na m2 fulan ndio uenjoy...
Kama utashindwa jifunze pia kuwaclass rafik zako ....kuna rafik wa sabab mfano unafanya nae kaz...au umezoeana ...ukampa nafasi kubwa moyon kwako kumbe yye kuna mtu anae mthamin zaidi so utaishia kuumia...
Strategy or method ya kujifunza hayo yote ni kuwabize kupindukia manake unaunyima ubongp kua free...
Trust me utazoea....tu taratibu ukizangatia

Disclamer:all about writen z from my personal xprience m not pro or pyscologist.
this is very true. Ni kama umenielewa 100% of what I'm going thru
 
Brother, kuna msema unaosema "don't blame the one who pushed you down but Blame yourself for not standing up" kwa hiyo katika maisha tunapitia failures nyingi Sana hivyo hatuna budi kukabiliana na kila jambo linalojitokeza. Pia jifunze kitu kimoja, unaposaidia mtu , usimsaidie ili aje akusaidie Bali saidia kwa sababu umeguswa kufanya hivyo. Watu wengi huwa hawajikubali, kwanza anza kujikubali kwamba wewe ni wewe hakuna mwingine, thamani yako ni kubwa kuliko yule na unaweza ukafanya lolote pale muda utakapokuwa tayari. Epuka kuangalia Fulani amefanya nini na wewe umefanya nini kwa sababu wewe si yeye. Penda muda mwingi kuwa na mtazamo chanya siyo kila jambo unalijengea mtazamo dhaifu hiyo ni hofu. Badili mbinu zako za kukabiliana na changamoto kubwa na ndogo, be solution fucused siyo kila jambo unaliweka kichwani.
asante sana kwa ushauri kaka. it means a lot. ubarikiwe.
 
niko hapa Psychologist lol,

weka goals ndogo ndogo ambazo ni achievable,ukifanya successful zitakurudishia confidence,

structure your day......kuanzia saa Fulani mpaka saa Fulani niko hapa nafanya kile.....

usikae idle....

Fanya mazoezi ya viungo,utachoka utalala vizuri hutopata muda wa kuanza kuwaza vitu ambavyo vinaku depress,

Mwisho hauko peke yako,one in four people experience mental health difficulties at some point..................just keep on fight
asante sana dada!
 
niko hapa Psychologist lol, weka goals ndogo ndogo ambazo ni achievable,ukifanya successful zitakurudishia confidence, structure your day......kuanzia saa Fulani mpaka saa Fulani niko hapa nafanya kile..... usikae idle.... Fanya mazoezi ya viungo,utachoka utalala vizuri hutopata muda wa kuanza kuwaza vitu ambavyo vinaku depress.... Mwisho hauko peke yako,one in four people experience mental health difficulties at some point..................just keep on fight

Beautiful.... Nami pia nimejifunza kitu hapa.
 
La kwanza na kubwa ni kutambua kuwa una Tatizo, this is done! Next, Soma Sana motivational speech, watch motivational videos, Soma vitabu vya kukufanya Uwe motivated. Una lack motivation only that, ukioona success stories utaona watu walisimama wakaanguka, wakasimama, wakaanguka lakini hawakukata tamaa.

Ingia YouTube Tafuta motivational speech kuna jamaa anaitwa Erick au E. T anakwambia make sure it hurts....

The moment inapokuumiza ujue ndio mafanikio yanakaribia. Jishushe, don't expect too much lakini weka both possibilities kuwa Naweza kufeli pia. Zipo nyiingi Sana za kukufanya uyaone maisha in a different angle.
 
Hebu sherehekea hizo kwanza, Ukitaka nyingine nambie.... Lazima ufurahi. Mimi nimeshazoea Usiku kabla ya kulala nitazisoma kadhaa, nitasali nitalala.
1523301814201.jpg
1522350534546.jpg
1523300174541.jpg
1522266477162.jpg
1522266496017.jpg
1518809623743.jpg
 
Kila kitu kipe muda yaaani give it Time, la pili RELAX Yaani tulia, fikiria huku umetulia, Jifikirie wewe zaidi kuliko mwingine Kama ulivyosema kuwa Unashindwa kufanya jambo lakini mwingine anakuja analifanya, well and good. Mfuate Muulize aliwazaje, TRUST yourself, ila sio over confidence. Pumzika, Pumzika Sio Bar Hapana, sometimes safiri, kakae ufukweni, nenda kawinde Z nenda shamba, nenda ibadani. Binafsi when I am stressed huwa napenda ku-drive Nje ya Dar for some hours au nakwenda Shamba, nazima simu Nafanya kazi zangu hadi jioni. Je, unapendelea nini? Sometimes naweza kufanya late night driving Yaani nitoke niende Ubungo, Mwenge, Posta, Ilala then Mbezi Just like that....

Aaaghh relax bhana
 
Back
Top Bottom