Uko dar es salaam....Nataka anaejua phentermine zilipo
bongo utahangaika tu.. sidhani kama ipoNataka anaejua phentermine zilipo
NdioUko dar es salaam....
Nenda kkoo kuna duka moja pale sijawahi ona kuna dawa wanakosa sema mtaa na jina la duka limenitoka kidogo mkuu" nikipata baadhi ya risti nitaweka jina hapaNdio
Nenda ukakatwe utumbo.