Nitapata wapi samaki wabichi kwa bei ya jumla kwa jiji la Dodoma?

Nitapata wapi samaki wabichi kwa bei ya jumla kwa jiji la Dodoma?

Mbayo wa Giika

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
205
Reaction score
107
Wadau wa biashara ya samaki naombeni msaada wenu. Ninataka kuanzisha bucha la samaki lakini kuna mambo kadhaa sijapata taarifa zake kamili hivyo naombeni msaada wenu.

1. Ninaweza kuwapata wapi kwa jiji la Dodoma?
2. Ni vibali (nyaraka) gani natakiwa kuwa nazo kufungua bucha hili?

Ahsanteni na karibuni.
 
For business and consultant
WEIN'S Fish Trader's, Tunauza samaki kwa bei ya jumla kutoka Mwanza kwenda mikoa yote tanzania, kuanzia kg 50 na kuendelea,''MZIGO UTALIPIWA PINDI UTAKAPOPOKELEWA AU KWA MAKUBALIANO'', ni kwa uhakika na tunawakaribisha wafanyabiasha wote wa samaki mikoani kufanya biashara nasi na tunatoa ushauli kwa wafanyabiashara wapya, KARIBUNI SANA
Ofisi zetu ziko mwanza mjini na Pasiansi- Ilemela
0763482861 WhatsApp number 0694381611
 
For business and consultant
WEIN'S Fish Trader's, Tunauza samaki kwa bei ya jumla kutoka Mwanza kwenda mikoa yote tanzania, kuanzia kg 50 na kuendelea,''MZIGO UTALIPIWA PINDI UTAKAPOPOKELEWA AU KWA MAKUBALIANO'', ni kwa uhakika na tunawakaribisha wafanyabiasha wote wa samaki mikoani kufanya biashara nasi na tunatoa ushauli kwa wafanyabiashara wapya, KARIBUNI SANA
Ofisi zetu ziko mwanza mjini na Pasiansi- Ilemela
0763482861 WhatsApp number 0694381611
Kilo moja shillingi ngapi?
 
Wadau wa biashara ya samaki naombeni msaada wenu. Ninataka kuanzisha bucha la samaki lakini kuna mambo kadhaa sijapata taarifa zake kamili hivyo naombeni msaada wenu.

1. Ninaweza kuwapata wapi kwa jiji la Dodoma?
2. Ni vibali (nyaraka) gani natakiwa kuwa nazo kufungua bucha hili?

Ahsanteni na karibuni.
Kama unahitaji samaki ni PM kwa msaada zaidi
 
Back
Top Bottom