Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Masters kwa lengo gani mkuu?
Kwa lengo la kuongeza utaalam wa fani yangu mkuu
Mkuu hapa najaribu kukidhi kiu yangu sio kwamba nasema sijatosheka ila dream yang ni masters maana na kingine niko idle tangu nimemaliza chuo mwezi july hivyo naona umuhimu wa kutafuta shule ili hata mda wang usipotee na malengo yangu yatimie
Mkuu hapa najaribu kukidhi kiu yangu sio kwamba nasema sijatosheka ila dream yang ni masters maana na kingine niko idle tangu nimemaliza chuo mwezi july hivyo naona umuhimu wa kutafuta shule ili hata mda wang usipotee na malengo yangu yatimie
Kiu yako ni masters au uelewa? Just utililize what u hav today before u demand more. Hivi unaamini masters ndo itakuweka fit zaidi au kwasababu profession yako bila kufika hatua hiyo basi. We sio msomi. ? Nenda ukafanye mitihani ya bodi ukifahuru jua na masters utaiweza.
Mkuu mbona unaleta malumbano km ni ngumu kunishauri namna ya kusoma masters scroll page tu mi cjui siasa. Samahani km nimekukwaza
Mkuu wewe niwale vilaza wa division 5 unataka ushauri unapewa kichwa chako hakielewi
Utakua mdaku ww sasa huo ndo ushauri ninaohitaji?? Umesoma ukaelewa ushauri ninaohitaji acha kuleta ujuaji nahisi ww ni mburula tu unaogopa shule kila mtu ana interest zake usikurupuke.
kweli umepewa ushauri.ila hujaelewa wanachokiongea watu.ingetakiwa urgue intellectual unakimbilia master hela ya kusomea hiyo master huna kwa nn usitumie hiyo 1st kwanza
Hawa ndio wasomi tunataraji walete mapinduzi nchi hii. Yaani umesoma una bachelor degree hujui la kufanya upo upo tuuu. Dunia huko kuna scholarship mia kidogo omba kasome duniani huko....
Wanajamvi naomba ushauri wenu leo, mimi nimehitimu degree ya kwanza chuo kikuu cha Dsm. Nina GPA ya 3.8 nilisoma BSc. ya mambo ya mazingira, nitawezaje kupata msaada wa kusoma masters hali yang kiuchumi siwezi kujisomesha msaada tafadhali
Omba scholarship zipo nyingi sana. Usiwe mvivu. Ingia mitandaoni pia waone academic supervisors wako.