Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 697
- 1,474
Hellow bosses i hope mpo poa
kwa anae fahamu njinsi au namna gani naweza kupata namba ya kampuni ya kufanya malipo kupitia mitandao ya sim
mfano namba ya kampuni ya mbet kwenye mitandao ya sim ni "555 333" hii namba( ya mfano sio yenyewe) inatumika kulipia mkeka na mtu kudeposit hela kwenye A/c ya mbet
Naomba kujia njinsi na garama za kuipata kwa anaefahamu
kwa anae fahamu njinsi au namna gani naweza kupata namba ya kampuni ya kufanya malipo kupitia mitandao ya sim
mfano namba ya kampuni ya mbet kwenye mitandao ya sim ni "555 333" hii namba( ya mfano sio yenyewe) inatumika kulipia mkeka na mtu kudeposit hela kwenye A/c ya mbet
Naomba kujia njinsi na garama za kuipata kwa anaefahamu