masharti na vigezo kuzingatiwa je utatumiaje nembo ya watu bila makubaliano.je elimu uliyosoma imekusaidia nini?kama vitu hivi hujui unajua ni dharau sana kuuliza swali kama hili then unasema una ADVANCE DIPLOMA KWELIKWELI!!!!!!!!!!!
Unajua mijitu mingine kazi yao ni kukurupuka tu kama imefumaniwa haijui ustaarabu ili mradi ijionyeshe kuwa nayo inajua kila kitu kumbe badala ya kuelewa mwenzake anataka nini kazi yake ni kulewa ujuvi mwingi.read between the lines,hujamuelewa mdau unataka tu kujidai wewe ni fundi wa maneno...
KUNA wataalamu wanasaidia watu kama wewe. kwa makubaliano anakuchongea hiyo nembo ili ujigongee mwenyewe maana hao TBS wakileta nembo yao watakudai pesa nyingi zaidi ya gharama za kuandaa bidhaa yako