Nitapataje 'vibe' nikiwa kiwanja kwa kunywa maji au juisi tu?

Nitapataje 'vibe' nikiwa kiwanja kwa kunywa maji au juisi tu?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kutokana na kuonekana mzee, madaktari vishoka wamenishauri nipunguze au niache kunywa pombe kwa sasa ili mwili uweze kujijenga vizuri, na kurudi utotoni.

Sasa, nina mwezi mmoja nipo ugenini na ninaishi kibachela; wapenzi wangu wote wapo mbali, na wkend ndio inaanza; na mimi ni mtu wa vibe wa kwenda viwanja.

Sasa kuna kiwanja nataka nikakitembelee leo, angalau nioshe macho na pia nipate mrembo machachari ambaye atakuwa mwenyeji wangu wa kunipa abc namna ya kupata furaha nikiwa hapa duniani.

Sasa najiuliza, nitawezaje kukaa muda wote huko, huku nikinywa maji tu? Si watoto wazuri wataniona mimi ni kibwengo, na watanikimbia?

Nipeni mbinu za kivita wakuu, kunywa maji kwa masaa 5 inachosha wakuu achiliambali kutokuwa na vibe.​
 
Faza kubali yaishe ... Uutwike uwe Shaibu au Ujikaze uwe Junio.

Tumia Muonekanao wako wa kizee kujipatia wachumba Mana hata wao wanapenda wanaume wazee.
 
Inakufanya uchangamke hasa ile mida ya kuamsha popo walio lala
sio lazima kulewa kilevi chechote kile kupata "vibe" kama ulivyoitumia neno vibe kwenye muktadha wako.

mm nikimuona demu mweusi kama Cheusi Dawa wangu tu, vibe linapanda. Sihitaji kilevi kuona her Beauty kudansi nae na kumngegenda😅😅😅😅
 
Hakuna uhusiano wowote ule kati ya Vibe na Ulevi.

OK
mimi nishamuelewa vibe anayoiongelea hapa ni ile baada ya kichwa kuwaka hata ukimshika muhudumu makalio unajihisi uko sahihi na hauna wasiwasi ila ukiwa na akili timamu huwezi nafsi yako inakusuta na pia wakikumaindi utakosa kisingizio.
 
Back
Top Bottom