M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
[emoji1787][emoji1787]Katiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Katiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Watashiriki kwani si kweli...tume si ileile..."TUME YA UCHAGUZI".
Hii inaitwa TUME HURU YA UCHAGUZI...
Fisi hasusiwi buchaKatiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
[emoji1787][emoji1787]Fisi hasusiwi bucha
Chadema walisema haeatashiriki uchaguzi kama Tume ni ile ile, walisema wanataka Tume Huru ya Uchaguzi. Sasa Tume ya Uchaguzi imeisha badilishwa jina, zamani ilikuwa inaitwa Tume ya Uchaguzi NEC, sasa imebadilishwa jina inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, hivyo Chadema watashiriki Uchaguzi.Katiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Bon Yai ndo kawashauri?Chadema walisema haeatashiriki uchaguzi kama Tume ni ile ile, walisema wanataka Tume Huru ya Uchaguzi. Sasa Tume ya Uchaguzi imeisha badilishwa jina, zamani ilikuwa inaitwa Tume ya Uchaguzi NEC, sasa imebadilishwa jina inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, hivyo Chadema watashiriki Uchaguzi.
P
Posho na ruzuku watamuachia naniKatiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Watashiriki, they have no optionKatiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Hapo ushafanya ngono.... umeshiba hadi unajamba hovyo umeshika simu kuandika upumbavu!! CHADEMA wasiooshiriki chaguzi ndo hiyo katiba na mifumo bora ya utawala itakuja? Watanzania wapumbavu sana.Katiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Dada sijui unapanik niniHapo ushafanya ngono.... umeshiba hadi unajamba hovyo umeshika simu kuandika upumbavu!! CHADEMA wasiooshiriki chaguzi ndo hiyo katiba na mifumo bora ya utawala itakuja? Watanzania wapumbavu sana.
Uzuri mifumo huru ya kidemokrasia huenda mbali zaidi ya wanaoonekana kuonewa(upinzani)Chadema walisema haeatashiriki uchaguzi kama Tume ni ile ile, walisema wanataka Tume Huru ya Uchaguzi. Sasa Tume ya Uchaguzi imeisha badilishwa jina, zamani ilikuwa inaitwa Tume ya Uchaguzi NEC, sasa imebadilishwa jina inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, hivyo Chadema watashiriki Uchaguzi.
P
Umepigwa cha ngapi?Dada sijui unapanik nini
Uko sahihi, sasa wafanye nini? Wakisusa/tukisusa CCM wanashangilia kama walivyo peke yao serikalini/bungeni. Unapendekeza nini?Katiba Ile Ile, tume Ile Ile, wakurugenzi wale wale wa 2020, mnategemea miujiza?
Please air it out. It is gravely needed.reserve my proposed wayout!
Hata tabia ya kususasusa si nzuri maana ukisusa wengine wanakula unabaki na njaa kama hakuna namna nyingine.Chadema walisema haeatashiriki uchaguzi kama Tume ni ile ile, walisema wanataka Tume Huru ya Uchaguzi. Sasa Tume ya Uchaguzi imeisha badilishwa jina, zamani ilikuwa inaitwa Tume ya Uchaguzi NEC, sasa imebadilishwa jina inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, hivyo Chadema watashiriki Uchaguzi.
P