Nitashangaa na kusikitika kama hatutampongeza Dkt. Mwigulu Nchemba na kubadilika kwa ukweli mchungu huu

Si kweli kila Mtanzania akiamua Kuacha 'Anasa' au Matumizi ya 'Kipuuzi' na yasiyo ya lazima kuwa na Bima ( hasa ya Afya ) inawezekana. Tujitathmini na tubadilike tafadhali.

Unajua maana ya kila Mtanzania? Nimehamia Mbezi beach, juzi napita karibu na Bahari nakuta familia inaishi kwenye open space yenye gerage ya parking isiyo na milango, wanapika kwa kuni!

Sasa ni starehe gani hawa wanaacha wawe na Bima!? Wasomi wa hii nchi wana mapepo sijui! Nime kaa na huyo Mama na kuongea naye na watoto wake nikaumia sana sana!

Kuna watu (wengi sana) wana shida za kutupa kwenye hii nchi, ukivuka upande wa pili anapokaa huyu Mama there are huge, beautiful, massive Houses na magari ya Kifahari!
 

Watu mkishakuwa na vijisent Bwana, mnasahau umaskini wa koo na ndugu zenu!
 
Mwigulu ni mwanasiasa acting artist....

Acting ndio their daily profession...yaani kila utawala unaokuja wana-act kufuata

Thats their job...

He is on an acting role....

Even if he acts, no magnitude in all his talks!
 

Unajua kumkejeli mtu kwa kumsifia, yani huu ujinga ndo unataka uutumie ku halali sha Dr yake?

What about those people ambao hawana basic needs Kama shelter and food! Waache nini walipe Bima?

You know when a Politician is telling lies? When he/she opens his/mouth! Nothing straight comes from their mouth!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…