Na nyie Vyura wa kihansi kitulizeni huko, Mshamfilisi Zahera hadi kaenda kuomba lift kwa As Vita ndengelesi wakubwa nyiePunguza mahaba niue wewe Mbumbumbu wa Mkiani,Zeruzeru ni mpumbavu tena sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata angekuwa ni Mtanzania hiyo ni haki yake,hakuna sehemu yoyote kwenye katiba inayokataza mtu kushangalia au kuipa ushirikiano club uipendayo,kama ingekuwa Taifa Stars hapo ndio pangekuwa na walakini. Massoud na Niyonzima walipoenda Serena Hotel kwenye kambi ya Rayon dhidi ya Yanga hakuna mwanaYanga hata mmoja alienyanyua bakuli na kupayuka kama huyu Mzungu fake wenu.Manara ni mpumbafu ndio kwani uongo? Zahera ana kosa gani angekua ni mtanzania anafanya hayo kweli tungestuka sasa jitu linaonekana wazi ni papaa linakupa shida ya nini kama sio upumbavu?
Sent using Jamii Forums mobile app
2. BashiteMi ni shabiki wa Simba ila kuna watu wawili natamani wasingejihusisha na Simba SC
1. Manara
2.........
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku lazima mtiwe vidole vya nyumaNa nyie Vyura wa kihansi kitulizeni huko, Mshamfilisi Zahera hadi kaenda kuomba lift kwa As Vita ndengelesi wakubwa nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamtoa nani kwenye ubingwa nyie vibakuliUongozi wa Yanga msilinyamazie hili jambo linaweza kusababisha sintofahamu kwenye timu yetu ameshajua anatolewa na ligi hachukui so hii ni tecnic ya Simba kupitia mbumbumbu wao
Kama wewe ulivyotiwa kile kimoja cha nguruwe watoto buku na MK14 kila mnayemshobokea anatiwa,, Nyie mlishindwa kujisaidia leo hii ndo msaidie wakongo?? Wacongo tumewapa ulinzi dhidi ya M23,na waasi wa Mai mai halafu waje kwetu watufunge eboo! Mechi ishaisha mzee wangu Juzi
Wapumbavu yanga ambao bado wanaugulia maumivu ya kufumuliwa marinda...kimoja cha mkwezi mamaeeeePunguza mahaba niue wewe Mbumbumbu wa Mkiani,Zeruzeru ni mpumbavu tena sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila tuache unafki Mkuu, kwa sababu alizotoa Zahera kuonekana karibu na As Vita huoni kwamba Manara ni mpumbavu kweli?Lakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Vidole vya nyuma mbona tulishawatia nyinyi juzi tu hapa...
Haji ni kichaaLakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Haji anachofanya ni uchocheziNa pia unijibu wapi Haji kawaaminisha mashabiki wa Simba kwamba wakifungwa kasababisha Zahera??
Sent using Jamii Forums mobile app
2. kivyakoMi ni shabiki wa Simba ila kuna watu wawili natamani wasingejihusisha na Simba SC
1. Manara
2.........
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani jifunze kujenga hoja basi.Manara amepost maneno na kumuonya Zahera eti ameonekana na timu ya AS Vita Club swali 1.Zahera amevunja sheria ipi ya mpira 2.Mamlaka yapi yanampa Manara kutoa kauli hizo 3. Anawahadaa na kuwaandaa mashabiki WA Simba kuwa wakifungwa tatizo ni Zahera
Kwa kauli hizi zinaweza kuleta ghasia kwenye soka na kuhatarisha maisha ya makocha wa kigeni
Kwani Mpumbavu ni tusi?Lakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app