Hakuna panapokosa changamoto kikubwa ni namna ya kuzitatua Mshuza.. Hili nalo litapitaBroo kuna mvurugano wa viongozi pale klabuni,kuna watu wasaliti pale...inshu ya ule uchaguzi imeibua madudu mengi sana! Kuna watu wamesusa.
Thimba guvu moya Mwamedi FC Pusha FC.Nilijitambua kuwa mimi ni SIMBA mwaka 1982, almost miaka 41 hivi iliyopita.. Ni shabiki kindakindaki wa SIMBA sports club .. Mimi si shabiki maandazi
SIMBA ni timu kubwa sana Tanzania, Afrika na duniani kote.. Simba imekuwa role model kwa timu nyingi kwa mengi mazuri iliyoyafanya.. Ina mafanikio mengi kitaifa na kimataifa. Inaheshimika na kutambulika sana kuliko hata mpinzani wetu.. Ni mojawapo ya timu maarufu popote uendapo
Kwa sifa zote hizo
Kwa mafanikio yote hayo
Kwa ukongwe wote huo
Kwa umaarufu wote huo.. Nitaanzaje kuichukia timu yangu hii kwa changamoto ndogo ndogo za kupita?
Kwenye maisha kuna kupata na kuna kukosa
Kuna nyakati za mafanikio na kuna nyakati za maanguko
Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za huzuni pia
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
Soka lina matokeo matatu
Kushinda
Kushindwa
Kutoa suluhu
Kwasasa sisi ni washindwa wa muda.. Tunaachia nafasi za furaha kwa wengine wanaokua.. Ni muhimu kufanya hivi pia.. Huwezi kuwa mshindi daima .. Maisha yana pande mbili nasi kwasasa tuko upande wa pili
Acha kwasasa adui afurahi lakini hili nalo litapita kama mengine yote yalivyopita
Viva SIMBA.... Viva Forever.[emoji173]View attachment 2525426
umetafsiri upendavyo ili uendelee kujifariji, hongera kwa kuijali afya yako.Kebehi za kawaida sana hizi na ni sahihi zikitolewa na mpinzani
Sawa boss... hongera kwa draw ya jana.Kebehi za kawaida sana hizi na ni sahihi zikitolewa na mpinzani mwenye uono kimbo cha mbilikimo
Kutoa kwenyeKutoka kwenye mbwembwe na majivuno mapaka kwenye maneno ya faraja [emoji23][emoji23] what a flop
Pole mtaani wangu ttzo lenu lilikuwa kujimwambafai sana ndio maana mnazodolewa sana mkajisahau kbsaSawa
Mnaishi kwa matumaini, huenda utaiona kesho yako.
Tangu lini adui akakuombea jema? Hizi ni za kawaida sana mbona? [emoji23] Maneno ya Mungu yanasema AJIDHANIAYE AMESIMAMA AJIANGALIE ASIANGUKE... Mwisho wa kunukuu na siongezi neno hapoPole mtaani wangu ttzo lenu lilikuwa kujimwambafai sana ndio maana mnazodolewa sana mkajisahau kbsa
Tukisema mnaishi kwa matumaini tunamaanisha hivyo mnavyojifariji.Tutaiona tena kwa kishindo na imara zaidi
Vipi kwani imekuwaje?Nilijitambua kuwa mimi ni SIMBA mwaka 1982, almost miaka 41 hivi iliyopita.. Ni shabiki kindakindaki wa SIMBA sports club .. Mimi si shabiki maandazi
SIMBA ni timu kubwa sana Tanzania, Afrika na duniani kote.. Simba imekuwa role model kwa timu nyingi kwa mengi mazuri iliyoyafanya.. Ina mafanikio mengi kitaifa na kimataifa. Inaheshimika na kutambulika sana kuliko hata mpinzani wetu.. Ni mojawapo ya timu maarufu popote uendapo
Kwa sifa zote hizo
Kwa mafanikio yote hayo
Kwa ukongwe wote huo
Kwa umaarufu wote huo.. Nitaanzaje kuichukia timu yangu hii kwa changamoto ndogo ndogo za kupita?
Kwenye maisha kuna kupata na kuna kukosa
Kuna nyakati za mafanikio na kuna nyakati za maanguko
Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za huzuni pia
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
Soka lina matokeo matatu
Kushinda
Kushindwa
Kutoa suluhu
Kwasasa sisi ni washindwa wa muda.. Tunaachia nafasi za furaha kwa wengine wanaokua.. Ni muhimu kufanya hivi pia.. Huwezi kuwa mshindi daima .. Maisha yana pande mbili nasi kwasasa tuko upande wa pili
Acha kwasasa adui afurahi lakini hili nalo litapita kama mengine yote yalivyopita
Viva SIMBA.... Viva Forever.[emoji173]View attachment 2525426
Wachawi f.cTawireeeeeeeee
Simba nguvu moja
Simba ni yetu daima