tena hizo nywele sio za sehem moja ati!!!!!!!
unaweza kukaba hadi penalti na wenzio wakawa wanamega tu
mwungwana una hela maisha ya kulea mtu siwezi mie
niwaachie wenye hiyo fani kina joyce na madamee wa Epique......
hivi hawana kazi za kufanya? lakini mimi hudhani watu wanaofwatilia story za hawa GPL ni poor thikers na hawana kazi za kufanya mjiniasante kwa kunipenda......ngoja nikalale mie GPL wakininasa mbona
wanniweka front page hata kwa kisa cha kutunga
hahaha usinipagawishe mie yaaani nacheka.............meona ee...
Akina Ally wanaogelea tu kwenye madimbwi ya vinena vya watu wazima.
Wanaume jamani, huko si ndio kuchungulia live ulikotoka...!!!, au ana mpini uchapao barabara!
Mweehh....hebu nifunge bakuli langu mie.
ninazo shem jeuri ya kutoomba chumvi na moto kwa jirani ninayo mieeeeUna hela wewe, au unataka ulelewe kama Ben Kinyaiya na jimama Joyce!
chumban si ndio humu jaman au kuna pengine?Njoo huku chumbani tukupe data.
in god we trustkuna mbeba box humu humu JF alishalalamika kuhusu kuibiwa dolare zake za kutosha kwenye hotel ya shigongo, kumbe ni jizi tu lilojaa tamaa. siku na lenyewe lif.......i...r...we
hahaha usinipagawishe mie yaaani nacheka..........
...yote hii ni kupenda shortcut life vijana wa kiume tunaumizwa na hili wengi hupenda vya dezo na hawapendi kazi ....kazi ni kipimo cha utu hao wataogelea kwa kitambo tu but mwisho huwa mchungu na huuza nafsi zao bure maaana hao akina madam huitaji kuuuza ili wawatunze vijana mimi ni mtoto wa kiume natambua wajibu wangu natambua nafasi yangu ktk jamii mungu atusaidie watoto wetu wasiangamie kwa ujimga huu....:focus: hela ya kuishi mjini ninayo
chumban si ndio humu jaman au kuna pengine?
Acheni umbea.
Una hela wewe, au unataka ulelewe kama Ben Kinyaiya na jimama Joyce!
Haka kama ukijua kama nilikuwepo wewe itakusaidia nini?mmh kwani wakati wa kupitisha hayo mafagio wewe hua unashikilia miguu?
Haka kama ukijua kama nilikuwepo wewe itakusaidia nini?
mmh joyce mhaville ama?
Hapo kwa red ndo umeongea la maana.
Ngoja niongee na shoga langu la Ukwenhe Heaven on earth, ili tuje kuzipangia budget shem langu.
Ndo mana nakupenda.