Nitatulien tatizo hili tafadhali

Nitatulien tatizo hili tafadhali

Rjohn

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
613
Reaction score
128
simu yangu tecno t605
ilikuwa poa ila niliirestore na pia nikaclear cache sina ujuz nayo kuwa inafanya kaz gan kubwa zaid yakuongeza spid tatzo baada ya hapo opera min inazingua balaa kuingia jf na fb inazingua hata mara 50 nisaidien nifanyeje iwe poa ni operamin ya simu version 6.1
 
nahata ku aprod statu haitak kwenye fb inagoma kabisa
 
samahan kumbe nimeingia kusiko husika!
 
Back
Top Bottom