Nitawafanzia kazi, kubomoleshwa...misamiati mipya katika siasa za Tanzania

Nitawafanzia kazi, kubomoleshwa...misamiati mipya katika siasa za Tanzania

Ki Mun

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
3,442
Reaction score
4,388
Hivi ni sahihi kwa kiongozi yeyote yule kupotosha lugha? Au ndo anaikuza labda tuambiwe...mara "nawafanzia" kazi, mara "kubomoleshwa", hii misamiati iko kwenye kamusi ya TUKI?
 
Back
Top Bottom